Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Enzi hizo kabla haujawa Dr ulikuwaga hot sana aisee, ukorofi wa mada, mada tata, na ukorofi wa hapa na pale. Hivi Husinho yuko wapi?
Niliambiwa nimekua sasa, niache ukorofi! 😵😵

I wish I knew...
Unaweza kuta tunagongana nae kwa ID nyingine ila hatujui.🥴
 
Niliambiwa nimekua sasa, niache ukorofi! 😵😵

I wish I knew...
Unaweza kuta tunagongana nae kwa ID nyingine ila hatujui.🥴
Hakika 😁
Alafu at that time alikuwaga ni Admin Kuna siku tulikutana nakapiga Chabo kwenye simu yake nikaona kumbe naye alikuwaga ni Mod
 
Back
Top Bottom