Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi nisome herufi moja moja kwanza ππππ
Sema kweli....??π²π²Hakika π
Alafu at that time alikuwaga ni Admin Kuna siku tulikutana nakapiga Chabo kwenye simu yake nikaona kumbe naye alikuwaga ni Mod
ππππ kwa maelezo yake alisema ana 35ππ
Kwani bado kaumri kako chini sana???π€πAsije tu akasikia!π
Yaani we ni Mdaku aka Mkuda π€£π€£π€£Imebidi nisome herufi moja moja kwanza ππππ
π€ Nani huyo ?ππππ kwa maelezo yake alisema ana 35
Sijaelewa hapa πHmmm...hapo basi tena. Sikuvunji moyo ila punguza matumaini!ππ
ππππ da mauπ€ Nani huyo ?
ππππ mbona unaongea kwa kuogopa sasaHmmm...hapo basi tena. Sikuvunji moyo ila punguza matumaini!ππ
AstaghfirullahHuyo umbea anaupenda ila anajifanya mlokole ππππ
Ame log off kwa Sasa π€£π€£π€£π€£Naogopa da πΌ asije akasema na mimi simpendi.πΆβπ«οΈ
ππππ Da mau tatizo lake bado hajajua wanaompenda na wasiompendaNaogopa da πΌ asije akasema na mimi simpendi.πΆβπ«οΈ
Mwambieni aanze kujipenda kwanza Mwenyewe na wengine watampenda. Sasa Yeye Mwenyewe hajiamini, hajipendi na anajidharau ni Nani atakayempenda?ππππ Da mau tatizo lake bado hajajua wanaompenda na wasiompenda
Utajua haujui We subiri π€£π€£π€£