Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Hakika 😁
Alafu at that time alikuwaga ni Admin Kuna siku tulikutana nakapiga Chabo kwenye simu yake nikaona kumbe naye alikuwaga ni Mod
Sema kweli....??😲😲

Kumbe tulikua tunacheka cheka na wakubwa na hatujui. πŸ€¦πŸΎβ€β™€οΈ

Ila we mkorofi...πŸ˜†πŸ˜†
Ntakuitia mods wakulambe ban ya dakika 10 kwakuchabo simu ya mwenzao.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe hata da mau baadae naye atatulia ni suala la muda
πŸ˜†πŸ˜†

Kwani bado kaumri kako chini sana???πŸ€”πŸ˜‚Asije tu akasikia!😁
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Da mau tatizo lake bado hajajua wanaompenda na wasiompenda
Mwambieni aanze kujipenda kwanza Mwenyewe na wengine watampenda. Sasa Yeye Mwenyewe hajiamini, hajipendi na anajidharau ni Nani atakayempenda?
 
Back
Top Bottom