Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Hivi mganga wa Lizzy ni yule yule wa Kimanzichana au keshapata mpya?

Hili naloona hapa ni la kweli?
Konnie mie mganga sina ehhhh. . .ila nna kahirizi nilipewa na bibi mzaa babu!!

Alafu unataka kukimbia kwanini Kongosho? Kaa hapo umlinde wifio!!

Mwali
Hamko wengi bana. . .we uko mwenyewe ndo maana huwezi kumtaja (wampenda sana). . .wengine watamchezea tu wamuache.

Erotica. . .anaweza akawa mkaka. . .embu komaa nae utuachie hawa wetu.
 
Last edited by a moderator:
Ataje Lizzy ambae ana wake. Mi sio wangu nitamtajaje sasa?
Hata hivo amesha tajwa sana, inatosha. Naunga mkono walo mtaja.


teh teh teh. Nawabembelezaaaaa! Don't say you have not been WARNED!
 
klorokwini
Kloro namwogopa mume wangu. . .naweza lazwa sebuleni bureee!

Invisible
Ushatajwa mara kadhaa, hujafurahi?!




Musimo Jr
Jr huyo ni off limit, yani mtu akifanya mchezo namwendea kwa babu. . .atapata mimba hata kama ni Boflo!!lolz

Haya we ujue biashara huria siku hizi so kama anatajwa sana ujue competition iko high..... review strategy zako
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji........huyu avatar yake inanifanya nihisi kama ana kitambi cha serengeti lager loh
 
Last edited by a moderator:
Konnie mie mganga sina ehhhh. . .ila nna kahirizi nilipewa na bibi mzaa babu!!

Alafu unataka kukimbia kwanini Kongosho? Kaa hapo umlinde wifio!!

Mwali
Hamko wengi bana. . .we uko mwenyewe ndo maana huwezi kumtaja (wampenda sana). . .wengine watamchezea tu wamuache.

Erotica. . .anaweza akawa mkaka. . .embu komaa nae utuachie hawa wetu.



teh teh teh. nishakua mkaka. nani Saint Ivuga?
 
Last edited by a moderator:
Badili Tabia made my day Mkuu,, vipi wewe umetajwa?
Hahahahahaaaa mi simo kwenye kinyang'anyiro....
sisi wazee tuko pembeni tunacheza bao....niko zangu na Mzee Asprin hatutaki shida
 
Last edited by a moderator:
Mwali, usihofu wakimtaja, kasema weekend hii tunaenda wapi kweli, sijui away sijui fishing.

Ngoja nimuulize vizuri ila kasema u-reserve wiki hii. Kutakuwa na kuogelea, kuvua samaki, bbq and the like.

Andaa vitu vizuri sawa?

Hi EMT!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom