Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Kongosho,

Hebu niletee the following girls this way:
BADILI TABIA
Amyner
Erotica

Vigezo na masharti vizingatiwe tafazali. UKAGUZI unaanza mara moja !

Hakikisha wajukuu wengine hawaisomi hii yuziful post....ok?
 
Last edited by a moderator:
QUOTE=BADILI TABIA;3837143]The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint

nitarudi simu imeishiwa chaji[/QUOTE]

Badili Tabia haki ya nani naenda kujinyonga kwa big g
List yote mi simo
Ahhh ngoja nihamie kabisa jukwaa la Funza dume maana huku sina changu
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimegoma! Sitaki kukaguliwa kwa makundi. akuuuh!

Tena we Erotica ndo umetoa list ya watu wengi zaidi. Itabidi uwe wa kwanza kukaguliwa usiende leta mazara huko mbeleni. Haya ukuje pande hii fastafasta kabla ODM na Asprin hatujalaza vichwa vyetu
 
Last edited by a moderator:
QUOTE=Yummy;3838471]My husband is very hooooooooot.....maadam hajatajwa bora nisimtaje maana Erotica ataanza kummendea bureee!

Wapi Dena Amsi?[/QUOTE]
Afadhali umekuja bana
We peke yako ndo mwenye uwezo na mamlaka ya kujitaja
Hebu nitaje kwa herufi kubwa wasije wakaniiba bure
DA hawezi yeye si unajua ni nyumba ndogo
a
 
Tena mfungulie sredi mbili kwa mpigo.
Moja ikandie kabisa hicho anachokula, ni chalenji kwangu.

Si ndio bizinesi patina?

hahahahahahaaa. So, long haitaafekti bisinesi

teh teh teh. wewe si umenitolea nje? Nisingejibiwa pm ningekua sina langu zaidi ya Klorokwini

Mie nakonekti dots tuu. Kweli ile thread nyingine umeniweka alternative
Hapa pia umeniweka wa pili. Hizi challenges siziwezi mie.
 
Tena we Erotica ndo umetoa list ya watu wengi zaidi. Itabidi uwe wa kwanza kukaguliwa usiende leta mazara huko mbeleni. Haya ukuje pande hii fastafasta kabla ODM na Asprin hatujalaza vichwa vyetu


teh teh teh. Unaniona? nipo hapo hapo karibu labda uwe mpofu.
 
hahahahahahaaa. So, long haitaafekti bisinesi



Mie nakonekti dots tuu. Kweli ile thread nyingine umeniweka alternative
Hapa pia umeniweka wa pili. Hizi challenges siziwezi mie.


Huku ulikua wa kwanza, nilipoona umenitolea nje nikamuweka Kloro badala yako.
 
Back
Top Bottom