Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Last edited by a moderator:
Tena we Erotica ndo umetoa list ya watu wengi zaidi. Itabidi uwe wa kwanza kukaguliwa usiende leta mazara huko mbeleni. Haya ukuje pande hii fastafasta kabla ODM na Asprin hatujalaza vichwa vyetu
Wee mzee banaa halafu ujue kesho kuna sababu jiandae kupanga meza
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha. . .nakuunga mkono kwa baadhi yao aisee ila Cookie nadhani ni mdada (unless you are into woman to woman action) basi tafuta wakumreplace.

Uwwwwww alafu umemtaja anaemdatisha Mwali . . . .na fulani pia!!

Wataje kwa majina unaowaunga mkono kwenye oroza ya Erotica.
 
Last edited by a moderator:
Ndo sasa uniambie. . .do you like girls aswell!?!!!

Hehehe sitaki kusutwa mie. ,ngoja aje mwenyewe. Alafu kuna mwingine hapo nae inabidi umfute fasta. . .ukifantasaizi kuhusu yeye tena unapata mimba!!

Lizzy ndo nini sasa kuanza kuniharibia?
 
Last edited by a moderator:
Amyner mind I take you out for a date, So that you can utter to me what it is you have failed to say about me? I am a keen Listener.

Afu nyie mamods hasa we Fang kwani hakuna mamods wa kike? Tuoneeni huruma mtuachie hivi vibinti vya moto na sisi wakulima tufaudu.

Siamini kama hii kauli yaweza nisababishia ban. Na nikilimwa ban naandamana kutafuta saini milioni
 
Last edited by a moderator:
Umeanza EMT. Halahala kidole na macho baba!
That is the hottest man in jf

Afu we King'asti inakuwaje mpaka mida hii hujalala? Unataka kuniharibia moves zangu? Manake ulivo mbea huchelewi kuniharibia kwa bibi...

Bishanga na EMT..... Hebu ambieni huyu mdada akalale. Vinginevyo ntabadili ID nitumie ile nayomtongozeaga RussianRoulette
 
Last edited by a moderator:
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint

nitarudi simu imeishiwa chaji
Bishanga kidum???? Kudadadadadeki ccm oye,nkuchane BT nsikuchane? Arrrrrooooooo kaa rimguu pande nikuazibu wewe mama robi.
 
Last edited by a moderator:
Afu nyie mamods kwani hakuna mamods wa kike? Tuoneeni huruma mtuachie hivi vibinti vya moto na sisi wakulima tufaudu.

Siamini kama hii kauli yaweza nisababishia ban. Na nikilimwa ban naandamana kutafuta saini milioni saba za kupiga marufuku mamods kutumia gesti za Tandale Uzuri.
Hahahaha aiseee
 
Back
Top Bottom