Wanaume wa Kanda ya ziwa, enyi wanawake jaribu kutuelewa

Wanaume wa Kanda ya ziwa, enyi wanawake jaribu kutuelewa

Watu wa shamba bana.. kupigana na wanawake ndio unajiita mwanaume. Mngese kabisa. Yani kitimbua kinakufanya umkate mapanga na mangumi mwanamke? Kitumbua si cha kwake ? Ushamba mwingine wa kijinga sana na mtu anakuwa proud kabisa. Dah
 
Watu wa shamba bana.. kupigana na wanawake ndio unajiita mwanaume. Mngese kabisa. Yani kitimbua kinakufanya umkate mapanga na mangumi mwanamke? Kitumbua si cha kwake ? Ushamba mwingine wa kijinga sana na mtu anakuwa proud kabisa. Dah
Ndo maana mnapigwa na panya road na kakakuona wanaume wa daslama.
Yaani wewe mwanamke wako kuvuliwa chupi ovyo unaona sio kitu cha kupigania?
 
Imagine hadi umri huu sijaingia gerezani, ndio nije nipate kifungo cha maisha kwa ajili ya mwanamke aliyeshindwa kujithamini na kujiheshimu. Mungu aniepushie kwa kweli
Mkuu kufanya umafia muhimu sana ili kutoa tahadhari kwa wengine, yoyote atakaekusogelea atajua wewe ni nani hapo hawezi kukuletea ujinga jinga. Muhimu tu ukishapiga tukio usiache ushaidi wala trace yoyote
 
Ndo maana mnapigwa na panya road na kakakuona wanaume wa daslama.
Yaani wewe mwanamke wako kuvuliwa chupi ovyo unaona sio kitu cha kupigania?
Huo ni ushamba mzee. Nyapu ni yake. Haummiliki mwanamke hata kama mkeo aisee cha muhimu kama ameamua kukukosea heshima hata ukimpiga namna gani haisaidii sanasana atakuchukia na ataigawa kwa hasira zaidi hadi kitundu huzuni atatoa.
 
Huo ni ushamba mzee. Nyapu ni yake. Haummiliki mwanamke hata kama mkeo aisee cha muhimu kama ameamua kukukosea heshima hata ukimpiga namna gani haisaidii sanasana atakuchukia na ataigawa kwa hasira zaidi hadi kitundu huzuni atatoa.
Kama wanaume ndo kama wewe basi tumekisha.
Mwanaume anafia heshimu au pesa tu.
We unataka uje uuliwe na kipindupindu
 
Huo ni ushamba mzee. Nyapu ni yake. Haummiliki mwanamke hata kama mkeo aisee cha muhimu kama ameamua kukukosea heshima hata ukimpiga namna gani haisaidii sanasana atakuchukia na ataigawa kwa hasira zaidi hadi kitundu huzuni atatoa.
Kama anipendi anikatae na acheze mbali na pesa zangu kama anajiuza aweke wazi tangu mwanzo tukubaliane bei twende geto tukamalizane kila mtu aendelee na mambo yake lakini sio huu utaperi wa wanawake wa type ya penina. Bora wanaume wa kanda ya ziwa, sisi wa kanda maalumu hapo hata kusingekua na kesi
 
Tatizo la wanaume wa kanda ya ziwa ni USHAMBA uliopitiliza.....huwa wanapenda kiboya sana.....huku mtaani huwa tunawahurumia sana sababu huwa wanazama mazima na kutumia nguvu nyingi kuhonga......mwisho wa siku wanagongewa na madogo....wakiona mwanamke mweupe wanapagawa kabisa ....majinga sana haya majamaa
 
Ndo maana mnapigwa na panya road na kakakuona wanaume wa daslama.
Yaani wewe mwanamke wako kuvuliwa chupi ovyo unaona sio kitu cha kupigania?
Sasa unapigania kitu gani we boya? mwanamke? duh ...wakati mimi naonaga nafuu sababu napata sababu ya kumtimua na kumbeba shoga mtu, dada mtu au mama mtu
 
Tatizo ni moja, wazee wetu wa zamani walikuwa hawayasemi madhaifu ya mama zetu ndio maana tumekuwa tukiamini walikuwa perfect. Huku mama zetu wakiongea sana kuhusu baba zetu kwa hiyo tulikua tukiamini wazee wetu ni tatizo hadi tulipofikia umri wa kuingia katika mahusiano ndio tukajua matatizo halisi.

Kiufupi, cheating haijaanza leo au jana, wamama wa zamani nao walisaliti Ila ukimya wa wazee wetu uliwasitiri. Hivyo, inabidi tu ujue mkuu usitumie generalization kuhalalisha maamuzi ambayo ukiyafanya yatakugharimu..

Imagine hadi umri huu sijaingia gerezani, ndio nije nipate kifungo cha maisha kwa ajili ya mwanamke aliyeshindwa kujithamini na kujiheshimu. Mungu aniepushie kwa kweli
Enzi zetu sisi. Hata ukienda safari ya mbali. Ukirudi unafikia mjini huko kisha unatuma mtu kupeleka begi lako nyumbani. Au ukikaribia homu unaanza kuimba, hasa kama ni usiku. Hurudi tu vu bin vu usiku maana unaweza hata kufumania. Tulielewa kuwa kuchapiwa kupo. Ndiyo maana hata hakukuwa na umuhimu sana wa kuhakikisha kuwa we ndo biological father. Kama dogo kazaliwa na mkeo basi unakausha tu hata kama ni kopiraiti na mwenyekiti wa kijiji au jirani mwenye kiduka hapo pembeni. Na maisha yalienda.

Kwa maisha ya sasa haya kukomaa eti uwe na papuchi ya peke yako aisee mtauana sana. Take it easy guys. It is just p*ssy - an endless self lubricating soft meaty sheath between a girl's legs and it is ain't worth dying for!

Na wanaume wa kanda ya ziwa mtambue kuwa dunia ishabadilika hii. Ubabe una mahali pake lakini kwa kiasi kikubwa dunia ya sasa inataka watu ambao ni rational na emotionally mature. Vinginevyo ndo hivi. Mtu unakwenda jela maisha. Kisa? 😳😳😳

Screenshot_20240523_192414_Gallery.jpg
 
Mwanaume imara ni yule ambaye huzuia vitendo vya hisia zake mbaya dhidi ya mtu mwingine, busara na maarifa si vitu vya kuzaliwa navyo bali tunavipata kutoka Kwa waliotuzunguka na mazingira yake, omba sana ujaaliwe au upate akili zenye busara kwani Kwa kutumia hizo busara utakuwa ni mtu wa kufanya maamuzi sahihi na Kwa wakati sahihi bila kuharibu mwenendo mzima wa maisha yako, akili za busara huongoza mtu binafsi Hadi jamii hatimaye taifa Kwa ujumla.
 
Hujataja kitu kimoja, na nyinyi punguzeni kupenda kiboya.

Unampenda dada wa gloseri hadi unapata wivu wa kuua? Acheni ushamba kanda ya ziwa

Sisemi dada wa gloseri asipendwe ila ukimpenda Acha na nafasi ya wengine 'kumpenda' mazingira yao ya kazi yanataka wanaompenda wawe wengi . Na ukijiona umekolea kiasi hicho basi muachishe hiyo biashara
Mijadala ufungwe.
 
Mkuu ndo umekuja kudhihirisha hapa kwamba wanaume wa kanda ya Ziwa mna matatizo ya akili! Maana hizo sio sifa bali ni upungufu wa akili kichwani
 
Tatizo ni moja, wazee wetu wa zamani walikuwa hawayasemi madhaifu ya mama zetu ndio maana tumekuwa tukiamini walikuwa perfect. Huku mama zetu wakiongea sana kuhusu baba zetu kwa hiyo tulikua tukiamini wazee wetu ni tatizo hadi tulipofikia umri wa kuingia katika mahusiano ndio tukajua matatizo halisi.

Kiufupi, cheating haijaanza leo au jana, wamama wa zamani nao walisaliti Ila ukimya wa wazee wetu uliwasitiri. Hivyo, inabidi tu ujue mkuu usitumie generalization kuhalalisha maamuzi ambayo ukiyafanya yatakugharimu..

Imagine hadi umri huu sijaingia gerezani, ndio nije nipate kifungo cha maisha kwa ajili ya mwanamke aliyeshindwa kujithamini na kujiheshimu. Mungu aniepushie kwa kweli
Chukua soda nakuja kulipa
 
Nimeona nitoe tahadhari,
Tanzania ni kubwa na tamaduni tofauti.
Kwa kilichotokea huko Goba, Dar kiwe funzo Kwa wanawake wa mjini kujia tamaduni za wanaume ngangari na wagumu hasa kutoka Kanda ya ziwa.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa huwezi kumwita majina yenu ya danga, yaani mtu wa Geita, Mara, Kagera , Mwanza na Shinyanga ule mali zake then umchanganye na wanaume wengine, hakika hayo ya Goba yatatokea sana.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa anahitaji heshima,
Ewe mwanamke usikaririi wanaume wa pwani kuwafulia, kuwapikia, mwanaume uko kwenye Ngoma uje usiku asikufanye lolote, utapigwa na kupigika.

Mwanaume wa Kanda ya ziwa hawezi kuchukulia poa utamaduni wa kushare mwanamke.
Mkiendekeza hayo yatawakuta ya Goba sana.

Ukiwa na mwanaume wa Kanda ya ziwa mheshimu, ukitoka muahe na utii sheria alokupa kuzingatia muda kurejea nyumbani, usidange, piga magoti ukimpa chakula au kingine,
Akiwa anaongea usijibazane nae maana unaweza kula mkofi ukazimia siku mbili.

Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa tuna sababu kuu 3 za kumfanya ya Goba mwanamke.
1. Mwanamke akitoa penzi nje ndoa/ mahusiano. Ukijiridhisha hakuna kuuliza ni aidha ufe au afe yeye.

2 mwanamke mshirikina. ukimkuta mkeo au mpenzi anafanya shiriki hiyo kesi haifiki hata Kwa wazee, namna ya kuimaliza ni kama ya huko Goba

3 mwanamke akimdharau me wake . Hapo adhabu Huwa ndogo kama vibao na viboko kadhaa kama hatakuwa na mdomo, akiwa na mdomo mrefu lolote baya laweza kutokea.

Tujifunze kuwasoma wanaume wa Kanda ya ziwa
Wasalam
Mbona sijaelewa haya maneno yaliyotupwa hapa?
 
Ndo maana mnapigwa na panya road na kakakuona wanaume wa daslama.
Yaani wewe mwanamke wako kuvuliwa chupi ovyo unaona sio kitu cha kupigania?
😀😀😀😀mkuu chupi kavuliwa yeye na miti kapigwa yeye wewe unakuuma nini mpaka kumuua?? Ukiona hivyo kung'uta mavumbi na ujipe pole kwa kupata mlupo
 
Back
Top Bottom