Wanaume wa karne ya 21 tunaendelea kupoteza uanaume wetu (masculinity)

Wanaume wa karne ya 21 tunaendelea kupoteza uanaume wetu (masculinity)

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Wanaume haswa vijana wa kiume tuwe na mjadala mkubwa ni wapi jamii inapokosea kuandaa mtoto wa kiume kuchukua ile nafasi yetu tuliyopewa na God ya "mwanaume utakuwa kichwa".

Kuna mambo personal nimeyaona na yanendelea kufanyika na yamekuwa kama kawaida kwenye jamii ambayo yanampa uanume mwanamke na kumfanya mwanaume kuwa mwanamke.

1. Men kuwa too emotional. Men kutoa machozi kisa manzi kakupiga chini au kakuumiza moyo. Kuwa mnyenyekevu kwa mwanamke "too submissive". Men kutoa misauti ya kudeka, watoto wa kiume mnaita kuwa "romantic".

2. Mtindo wa maisha, ulaji, uvaaji.

3. Kampeni za kumuinua mtoto wa kike na kumsahau mtoto wa kiume zimefanya watoto wa kiume wanaokua kwenye zama hizi kuamini wako sawa.

4. Jando ilimfundisha mwanaume kuwa mwanaume, zama hizi makabila machache yamazingatia.

Ongeza na mengine...
 
Wanaume haswa vijana wa kiume tuwe na mjadala mkubwa ni wapi jamii inapokosea kuandaa mtoto wa kiume kuchukua ile nafasi yetu tuliyopewa na God ya "mwanaume utakuwa kichwa".

Kuna mambo personal nimeyaona na yanendelea kufanyika na yamekuwa kama kawaida kwenye jamii ambayo yanampa uanume mwanamke na kumfanya mwanaume kuwa mwanamke.

1: Men kuwa too emotional. Men kutoa machozi kisa manzi kakupiga chini au kakuumiza moyo. Kuwa mnyenyekevu kwa mwanamke "too submissive". Men kutoa misauti ya kudeka, watoto wa kiume mnaita kuwa "romantic".
2: Mtindo wa maisha, ulaji, uvaaji
3: Kampeni za kumuinua mtt wa kike na kumsahau mtt wa kiume zimefanya watt wa kiume wanaokua kwenye zama hizi kuamini wako sawa.
4: Jando ilimfundisha mwanaume kuwa mwanaume, zama hizi makabila machache yamazingatia

Ongeza na mengine...
Tatizo ni kushinda mnaongozana na wanawake huku mkichekeana, matokeo ya hayo ni nyie kuwa na mambo na tabia za kike.
 
Vijana wanashinda mtandaoni instagram na vijiweni unategemea nini? Ni kweli masculinity inapotea kwa kias kikubwa kwa sababu wavulana wengi wanapokea information nyingi ambayo sio sahihi na wanashindwa kuchambua.
Wazazi nao ambao wangekua mwangaza wa watoto wa kiume hawana muda maana tozo zimewabana.
Bado hawa wanwake wa kizazi kipya badala ya kupika ugali wananunua chipsi na kukaangakaanga kiboya na mtoto wa kiume unakula na kulamba vidoke kwanini usiote manyonyo?
Kama umebaki na uanaume wako komaa na generation yako ili usitoe wanaume wajinga. Hao waliobaki kama taikon alivosema subiru waendelee kuwapa pole madem zao wakishatoka kuchakatwa na real men
 
Yaani mwanaume unalilia mapenz,? Eti uko unajichukua video unalamba lips na kuweka filter?
Hii ni ujinga uliokubuhu! Utaweza kulea familia kweli? Shenz sana!
 
Kuna maujinga sana kwa kizazi hiki kwa kweli mpaka 2030 huku watu watakuja kujuta kuzaa watoto wa kiume..
 
Tatizo ni kushinda mnaongozana na wanawake huku mkichekeana, matokeo ya hayo ni nyie kuwa na mambo na tabia za kike.
Umemaliza mmkuu.Kuna kampeni kubwa eti mwanaume lazima uongozane na mwanamke Kliniki,sokoni kila mahali. Matokeo yake unajikuta umefundishwa umbea hadi kupaka poda. Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom