Wanaume wa karne ya 21 tunaendelea kupoteza uanaume wetu (masculinity)

Wanaume wa karne ya 21 tunaendelea kupoteza uanaume wetu (masculinity)

Wanaume haswa vijana wa kiume tuwe na mjadala mkubwa ni wapi jamii inapokosea kuandaa mtoto wa kiume kuchukua ile nafasi yetu tuliyopewa na God ya "mwanaume utakuwa kichwa".

Kuna mambo personal nimeyaona na yanendelea kufanyika na yamekuwa kama kawaida kwenye jamii ambayo yanampa uanume mwanamke na kumfanya mwanaume kuwa mwanamke.

1. Men kuwa too emotional. Men kutoa machozi kisa manzi kakupiga chini au kakuumiza moyo. Kuwa mnyenyekevu kwa mwanamke "too submissive". Men kutoa misauti ya kudeka, watoto wa kiume mnaita kuwa "romantic".

2. Mtindo wa maisha, ulaji, uvaaji.

3. Kampeni za kumuinua mtoto wa kike na kumsahau mtoto wa kiume zimefanya watoto wa kiume wanaokua kwenye zama hizi kuamini wako sawa.

4. Jando ilimfundisha mwanaume kuwa mwanaume, zama hizi makabila machache yamazingatia.

Ongeza na mengine..

Watoto wa kiume wanakuwa "shaped" na "on trending" kwenye social network, internet na movies. Kuona mwanaume akihemewa nyuma na dume lenzake kwenye movies ambazo watoto wa kiume wanaangalia, wanaona ni kitu cha kawaida.
Jando umafumdishwa mwanaume anatakiwa awe shupavu, imara na yuko tayari kukabiliana na hatari inapotokea. Leo kuna men anapuliza perfume tano kwa pamoja, men kuwa soft....mjusi akikuangukia unaruka futi 100
 
Kwa nini unafurahi wanaume wenzetu wapelekeshwe.

😀😀
Ngoja nikupe majibu ya Yesu maana swali lako linanashahabiana

Mathayo 13:24
Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake;

Mathayo 13:25
lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.

Mathayo 13:26
Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.

Mathayo 13:27
Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?

Mathayo 13:28
Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?

Mathayo 13:29
Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo.

Mathayo 13:30
Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.
 
Roy sarungi,
wanaume tumtafute huyu jamaa, ni mentor mzuri
 
Na ndio maana ckuiz wanaume wanapungua kwa Kasi Sana. Jamii imetusahau kbsa imeamua kuegemea upande wa mtoto wa kike

“Jamii inawatazama sana wanawake na kutusahau sisi wanaume”.
Kwani jamii yenyew ipo kwenye jinsia gani.!?
 
Kuna unafiki upo kati yetu sisi wanaume hivi, kuna kundi la mashoga ambalo linazidi kwa kasi hivi anaewaingilia hawa mashoga nani kama si mwanaume tena uwenda wengine wamo humu, tunatafuta mchawi wakati mchawi namba moja ni sisi wenyewe inaumiza leo mwanaume kabisa leo mwanaume anapandisha hisia kwa mwanaume mwenzie tena anafurahia kabisa.
 
Saizi masculinity haipo mkuu, feminism imeendelea kutakeover ,kijana wa kiume leo hii anapiga magoti akiomba amvalishe pete Binti,,Tunahitaji watu kama wakina Andrew Tate ,tusipo chukua hatua basi tumeisha
 
Si taifa la bongo fleva mnalilitengeneza

Ova
 
Back
Top Bottom