Wanaume wa kiislam msitumie dini kunyanyasa wanawake wa kiislam kisaikolojia

Wanaume wa kiislam msitumie dini kunyanyasa wanawake wa kiislam kisaikolojia

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Dini ya kiislam ina mengi mazuri.

Hata swala la kuruhusu mwanaume kuoa wake wanne liliwekwa kwa nia nzuri tu.

Pia swala la kumuacha mke kwa talaka moja mpaka tatu pia ni utaratibu wa kidini.

Shida hizi taratibu zinachukuliwa vibaya na wanaume wa ki africa.

Tazama hii video ya shehe anatoa nasaa kwa bwana harusi harusini.

Maneno anayoyasema hadharani.. kisha tazama wanawake wa kiislam waliopo harusini sura zao zilivyopokea huo ujumbe wa nasaa

Wanawake ndio mama zenu, dada zenu, watoto wenu msisahau kuwaheshimu pia hata kama dini inaruhusu.

 
Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti, wao ibada zao ni Moja kwa watoto na wakubwa, unakuta mtoto mdogo anajazwa mambo makubwa ya ajabu kwa umri mdogo akija kuharibika kwa ku practice Yale mahubiri ya Kila siku anayoyasikia kwa viongozi wake waliosoma elimu iitwayo ILIM basi wanaanza kulalamika kumbe chanzo ni wao wenyewe
 
Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti, wao ibada zao ni Moja kwa watoto na wakubwa, unakuta mtoto mdogo anajazwa mambo makubwa ya ajabu kwa umri mdogo akija kuharibika kwa ku practice Yale mahubiri ya Kila siku anayoyasikia kwa viongozi wake waliosoma elimu iitwayo ILIM basi wanaanza kulalamika kumbe chanzo ni wao wenyewe
Kwa nin ufuatilie Mambo yasiyokuhusu?
 
Wanaawake wa kiislam angalau Wana heshima kwenye ndoa tofauti na wanawake wa Kikristo Wana kiburi Cha hakuna kuachana mpaka kifo.
 
Mwanamke wa kiislama kwenye ndoa ni sawa na mpangaji Hana garantii wapo juu juu kutegemea chochote muda wowote either talaka au kuongezewa mke wa pili.

Wanawake wa Kikristo ni sawa na wamiliki wa nyumba Sio kazi rahisi kumfukuza mmiliki wa nyumba thus wengi wao hawana heshima na utii wamejaa ufeminism.
 
Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti, wao ibada zao ni Moja kwa watoto na wakubwa, unakuta mtoto mdogo anajazwa mambo makubwa ya ajabu kwa umri mdogo akija kuharibika kwa ku practice Yale mahubiri ya Kila siku anayoyasikia kwa viongozi wake waliosoma elimu iitwayo ILIM basi wanaanza kulalamika kumbe chanzo ni wao wenyewe
Ulivyoongea ni kama umejitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe. Tuwekee ushahidi wa uyasemayo.
 
Back
Top Bottom