Umetazama video maneno anayoyaongea jamaa?Bora wawe na michepuko sio na watoto wa Siri wasiotambulika?
Msikitini wangepaswa watoto wasichanganywe na wakubwa kwenye ibada.Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti...
nyie ni mboga kwani wongoNdio maana niligoma kuolewa nao,hawana heshima kwa wanawake wanamadharau, vitisho hawajielewi
Kwa nin ufuatilie Mambo yasiyokuhusu?Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti, wao ibada zao ni Moja kwa watoto na wakubwa, unakuta mtoto mdogo anajazwa mambo makubwa ya ajabu kwa umri mdogo akija kuharibika kwa ku practice Yale mahubiri ya Kila siku anayoyasikia kwa viongozi wake waliosoma elimu iitwayo ILIM basi wanaanza kulalamika kumbe chanzo ni wao wenyewe
Muislam hawezi kuoa kahabaNdio maana niligoma kuolewa nao,hawana heshima kwa wanawake wanamadharau, vitisho hawajielewi
Mtajiju mie sio dini yenu oweni dini yenu au vilazanyie ni mboga kwani wongo
Mama ako ndio kahaba ndio maama kazaa kafiri asiye na haya jwenye hiyo dini yenu haina staraMuislam hawezi kuoa kahaba
Mnahitaji maombi yetu sana ili mtoke huko harakaNdio Uislamu dini ya haki inasema hvy
Sijaona tatizo ni nini hapo?Habari wadau.
Dini ya kiislam ina mengi mazuri.
Hata swala la kuruhusu mwanaume kuoa wake wanne liliwekwa kwa nia nzuri tu...
Ulivyoongea ni kama umejitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe. Tuwekee ushahidi wa uyasemayo.Hawa watu nimefuatilia mafundisho Yao 90 asilimia ya mahubiri Yao ni mapenzi, mahusiano na mwanamke mbaya zaidi hawana ibada za rika tofauti, wao ibada zao ni Moja kwa watoto na wakubwa, unakuta mtoto mdogo anajazwa mambo makubwa ya ajabu kwa umri mdogo akija kuharibika kwa ku practice Yale mahubiri ya Kila siku anayoyasikia kwa viongozi wake waliosoma elimu iitwayo ILIM basi wanaanza kulalamika kumbe chanzo ni wao wenyewe