Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi mbinu

Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100

Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha

Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi

**************
 
Hio mbinu tumetumia wengi,,,, we zuga unaipenda dini yake na kama mkristo fanya kabisa kama unataka kuslim kwa wengine unajifanya muislam kabisa kama unajua mawili matatu ya huko ,unabeba
Nenda direct mm naitwa khalidi chap tu
 
Uislam tunafundishwa kupendana sisi kwa sisi, wakati kwenye ukristo mnafundishwa kupenda watu wote. Tofauti ipo hapo
 
Umenkumbusha chuo kuna mwanamke wakuitwa zukaila alikua mzur sana asa tukiwa tunadiscus pamoja, asa ckujua ikawaje et ananipenda na alikua na majini kuna mda yanapanda wenzie wanapiga dua hatar akiwa mzima anadai ananipenda nkaona awee nkala kona ctaki mazoea nae
Kwa waislam kuna majini na kwa wakristo kuna mapepo

Bado tupo mule mule ni wewe tu kuchagua
 
Umenikumbusha mbali,Kuna dada flani mlokole sana niivyomjua nikajifanya naitwa John halafu Kila siku namuuliza masuala ya kiroho.Alikuja kujua kuwa mwamba muislam ashaliwa zamani sana.Wanaume tuna mbinu sana
 
Back
Top Bottom