LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi mbinu
Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100
Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha
Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi
**************
Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100
Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha
Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi
**************