Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

Unaweza kudhani umepata kumbe unapatikana....; Sasa ukiwa na utitiri wa watu wanaokupenda / uliowasaliti hapo kuna furaha gani ? Au haujui msemo wa Beware of a Woman Scorned ?
 
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi mbinu

Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100

Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha

Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi

**************
Nimedate na baadhi ya waislamu (sio wengi 😂 nisije onekana kiwembe) ila kwa wote, sijawahi tumia jina lisilo la Kigalatia na nikawapata


Nahisi hii ya jina ipo sana maeneo ya pwani (ukiondoa Dar) lakini huku kwengine ni kawaida kukuta mademu wa kiislamu wapo kwa wakristo, na vice versa

Anyway, asante kwa ushauri siku nikienda visiwani ntatumia mbinu yako hii😂
 
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi mbinu

Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100

Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha

Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi

**************
Tafuta Hela Hela Kona Kona za nini?
 
Wanaume wenzangu wa Kikristo moja kati ya zawadi na utam ambao hutakiwa kuukosa hadi unaondoka Dunia hii ni kupata mapenzi ya wanawake wa kiislam wale watu ni balaa lingine linapokuja swala la mahusiano ni watam,haswaa na wanayajua mapenzi ila wengi mmekuwa mkipigwa chini sababu hamjui hizi mbinu

Mbinu ya kwanza na izingatiwe mwanaume ili umvutie binti yeyote awe mkristo au muislam cha kwanza wote tunajua ni PESA,PESA,PESA, sasa kama wewe ni mwanaume mpambanaji na Ni mkristo unatakiwa ujue wanawake wa kiislam wengi ni kama wamemezeshwa sumu kuhusu wakristo hasa Zanzibar huko ukianza kumtongoza binti wa kiislam hasa wale waliolelewa kimaadili akikujua wewe ni Mkristo tu basi jua atakuponyoka hapo hapo hata uwe na hela kumpata ni 30/100

Cha kwanza ukifahamiana nae wewe mwambie mimi naitwa Rahem,Suleiman,Khaleed,Ghalib usije ukamwambia Direct naitwa Joshua au Zakayo, wakikushtukia tu ni waupande wapili mchezo umeisha

Akishajua wewe ni Muislam kama yeye na akikuangalia ni mpambanaji hapo kumpata ni simple sana, na wakishazama penzini baadae wakijakushtuka kuwa wewe ni mkristo kuchomoka huwa hawawezi hata kidogo maana wanakuwa washafall in love na hii mbinu nimekula wengi sana na mke wangu wa sasa nilimpata huko zanzibar kwa mbinu hii ya kijasusi

**************
tangawizi ndiyo umeweka kidogo
 
Back
Top Bottom