Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

Umenikumbusha mbali,Kuna dada flani mlokole sana niivyomjua nikajifanya naitwa John halafu Kila siku namuuliza masuala ya kiroho.Alikuja kujua kuwa mwamba muislam ashaliwa zamani sana.Wanaume tuna mbinu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
the same as wanaume wa kiislam wanavyowatwaa mabinti wa kikristo.
Mabinti wa kikristo hawana udini sana kama wa upande wa pili,,hao mnaweza kuoana hata ndoa mseto sio ishu au akaangalia maslahi yake tu dini haiwi kikwazo,,, tena hakuna kitu muislam anafurahia kama akiona anaweza kum influence mtu kuslim
 
Umenkumbusha chuo kuna mwanamke wakuitwa zukaila alikua mzur sana asa tukiwa tunadiscus pamoja, asa ckujua ikawaje et ananipenda na alikua na majini kuna mda yanapanda wenzie wanapiga dua hatar akiwa mzima anadai ananipenda nkaona awee nkala kona ctaki mazoea nae
Kwa mtu ambaye sio muislam ukajichanganya na kujamiiana na binti wa kiislamu lazima uone mauzauza! Mambo ya kupagawa pepo sijui nini kwao ni kawaida
 
Lakini ma bint wa kikuristo wengi hawajui kujitawalisha vizuri hawajui kwamba mapenzi ni usafi, tena kwa kutumia maji sio toilet paper......
Ingekuwa hivyo mabinti wa kiislamu ni wasafi, wangeolewa wakiwa mabikra.😁😁😁😁
Utakuta binti wa kiislamu, amejifunika hijabu sijui nikabu lkn hakuna bikra, ukimuuliza kwanini unavaa, hijabu. Anajistirii😁😁
Ni bora wangekuwa wanaa bikini tu😁😁😁😁
 
Tofauti ni kwamba mabinti wa kiislam hukua na kulelewa kwa. Tamaduni za kiarab, zinazo muandaa mwanamke kua mke hapo kuna vitu kama usafi, respec, tendo na familia, wakati mabinti wa kikristo wana lelewa kwa tamaduni za magharibi, hayo mambo hamna,
Ndio maana wana tofauti, hawa watoto wa kiislam acha kaka, manukato, maufundi wama jistiri sana,
Nazungumzia wale walio lelewa na kufunzwa sio hawa wenye vipini
 
Tofauti ni kwamba mabinti wa kiislam hukua na kulelewa kwa. Tamaduni za kiarab, zinazo muandaa mwanamke kua mke hapo kuna vitu kama usafi, respec, tendo na familia, wakati mabinti wa kikristo wana lelewa kwa tamaduni za magharibi, hayo mambo hamna,
Ndio maana wana tofauti, hawa watoto wa kiislam acha kaka, manukato, maufundi wama jistiri sana,
Nazungumzia wale walio lelewa na kufunzwa sio hawa wenye vipini
Balaa kaka mm ndio madem zangu watam balaa
 
Back
Top Bottom