[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Umenikumbusha mbali,Kuna dada flani mlokole sana niivyomjua nikajifanya naitwa John halafu Kila siku namuuliza masuala ya kiroho.Alikuja kujua kuwa mwamba muislam ashaliwa zamani sana.Wanaume tuna mbinu sana
Ukiwaambia unataka kuslim wanafurah hapohapoHio mbinu tumetumia wengi,,,, we zuga unaipenda dini yake na kama mkristo fanya kabisa kama unataka kuslim kwa wengine unajifanya muislam kabisa kama unajua mawili matatu ya huko ,unabeba
Ata kama zukaila popote ulipo nisamee nadhan ushanifaham kama upo humuKwa waislam kuna majini na kwa wakristo kuna mapepo
Bado tupo mule mule ni wewe tu kuchagua
Mabinti wa kikristo hawana udini sana kama wa upande wa pili,,hao mnaweza kuoana hata ndoa mseto sio ishu au akaangalia maslahi yake tu dini haiwi kikwazo,,, tena hakuna kitu muislam anafurahia kama akiona anaweza kum influence mtu kuslimthe same as wanaume wa kiislam wanavyowatwaa mabinti wa kikristo.
Haha unaenda direct kama una idea kidogo za hio dini ila kama uko mweupe lazima ujifanye unataka kuslim na unaonyesha una interest kabisa na diniNenda direct mm naitwa khalidi chap tu
Kwa mtu ambaye sio muislam ukajichanganya na kujamiiana na binti wa kiislamu lazima uone mauzauza! Mambo ya kupagawa pepo sijui nini kwao ni kawaidaUmenkumbusha chuo kuna mwanamke wakuitwa zukaila alikua mzur sana asa tukiwa tunadiscus pamoja, asa ckujua ikawaje et ananipenda na alikua na majini kuna mda yanapanda wenzie wanapiga dua hatar akiwa mzima anadai ananipenda nkaona awee nkala kona ctaki mazoea nae
Ingekuwa hivyo mabinti wa kiislamu ni wasafi, wangeolewa wakiwa mabikra.ππππLakini ma bint wa kikuristo wengi hawajui kujitawalisha vizuri hawajui kwamba mapenzi ni usafi, tena kwa kutumia maji sio toilet paper......
Balaa kaka mm ndio madem zangu watam balaaTofauti ni kwamba mabinti wa kiislam hukua na kulelewa kwa. Tamaduni za kiarab, zinazo muandaa mwanamke kua mke hapo kuna vitu kama usafi, respec, tendo na familia, wakati mabinti wa kikristo wana lelewa kwa tamaduni za magharibi, hayo mambo hamna,
Ndio maana wana tofauti, hawa watoto wa kiislam acha kaka, manukato, maufundi wama jistiri sana,
Nazungumzia wale walio lelewa na kufunzwa sio hawa wenye vipini
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1609]Umenikumbusha mbali,Kuna dada flani mlokole sana niivyomjua nikajifanya naitwa John halafu Kila siku namuuliza masuala ya kiroho.Alikuja kujua kuwa mwamba muislam ashaliwa zamani sana.Wanaume tuna mbinu sana
Tehe tehe tehe.Balaa kaka mm ndio madem zangu watam balaa