Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
bt mi nna swali kidogo kwa Excel Bantu lady n wakurya wote eti nyumba ntobho ndo nini?nilibahatika kufika tarime nikakaa kwa siku moja nkalisikia hili neno.
Safi sana. Afadhali sasa tupunguze woga. Wasukuma nao wanasifika kweli aisee, ukipata huko utafaidi. Nawajua wawili watatu, nikuunganishie? Au labda kaka yangu Mchagga. . . ? Lolzz
Excel si naona una wasiwasi sana na namba ndio maana. Inanifanya na mie nijiulize ina maana umezeeka kiasi kwamba title ya kuwa nyumba ndogo haitoendana na umri ama. Ile haichagui umri bana. . .
nooo lizzy!! iam vere vere young!! young to carry you 100kms without resting!!!
wasukuma upole wao umezidi sometimes hawawezi hata kusema pale panapokosewa.. hilo sie ndo hatuna kabisa!!
ok, where did we reach with our sweetest offer mamii?
Bana weeee. .Hahhaaa wachaga kaka zako no bhana sitawezana nao. Tuongee hao wasukuma vizuri hata kule room twende hapa kaka zangu wapo washtukizie wanatambulishwa tu.
mh!hayaaa.ntaku-pm kwa maelelezo zaidi... sawa eenh?
Kwa wale wadada waliowahi au wenye wapenzi wakurya watakubaliana na mimi juu ya hili ila tunataka mwanamke awe mwaminifu tu asiwe kona kona au mduara utakula mema ya nchi naombeni mfute ila dhana ya kuwa wakurya tunapiga wanawake hayo yalikuwa zamani.
owkay nimekupata my wii jaman sante sana nazidi kuvutika fanya fasta wii! yeuuwi nimevutika.Hiyo inakuwa hivi kuna wamama watu wazima na wabibi wengi wao hawakubahatika kuwa na watoto. Sasa kama kuna kasichana anaenda kukachumbia kwa wazazi wake, ng'ombe zinamtoka kwa mahari hapo. Ili familia iendelee yule binti ataruhusiwa kuzaa na mwanaume ila akijulikana bibi ndio mume na ndio mtunza familia. hope umenipata my wii mtarajiwa.
owkay nimekupata my wii jaman sante sana nazidi kuvutika fanya fasta wii! yeuuwi nimevutika.
wadirect piemu ila kuna kafoleni wavumilie kidogo mwe!Usijali my wii mume wa kikurya umepata trust me. Kuna kaka zangu ushindwe wewe tu.
Mhhh kuna kaka m1 mkurya anani-approach,yani kila nikiwaza kabila lake naahirisha hata kupokea simu yake,Mungu aniepushie mbali vipigo
mkubalie tu wamebadirika siku hizi si unaona uzi wao umekaa kimakopa kopa.Mhhh kuna kaka m1 mkurya anani-approach,yani kila nikiwaza kabila lake naahirisha hata kupokea simu yake,Mungu aniepushie mbali vipigo
mkubalie tu wamebadirika siku hizi si unaona uzi wao umekaa kimakopa kopa.
Mhhh kuna kaka m1 mkurya anani-approach,yani kila nikiwaza kabila lake naahirisha hata kupokea simu yake,Mungu aniepushie mbali vipigo
ha!ha!haaa!simdanganyi jaman mi namshauri tu maana mwenye nimevutika asijali tutakua wote akidundwa ntamgombelezea.Hahaha unamdanganya mwenzio kumbuka mwenye asili haachi asili yake
ha!ha!haaa!simdanganyi jaman mi namshauri tu maana mwenye nimevutika asijali tutakua wote akidundwa ntamgombelezea.
maama wee kaa basi tena aisee!aafu umenikumbusha kuna jamaa mmoja huku mtaani anambamiza mkewe sana baba wa jamaa anamwambia kijana wake akileta ujinga piga kama mbwakuna mama mmoja alizimiwa kipisi vha sigara kwenye jicho lake hadi sasa ni chongo, hawa watu usiwachezee
Muraaa...watu wameanza kukuogopa aisee..wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!
endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...
mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..
hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..