Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haa duuu umeuaandio waliobaki na hatuna option ingine
ndio waliobaki na hatuna option ingine
Kwa sababu wanaume tunekuwa wachache!
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!
Labda wanavutiwa na Lafudhi yao.... pesa hawana maana kwa pesa wachagga ndio wanaongoza hapa Tanzania.
Wachaga kitambo....sasa wakinga wako juu kaulize kariakoo....wachaga "arm robbery"Mabinti wamechanika
Anaetaka kugechwa nani akuuuuuu
mwamba ngoma huvutia kwake.na sisi akina "bombi hii nyumbi hii" tutasemaje kwa totozi za ktz.utadhan miili yetu ina superglue.
Ne niyi tu nuuu kuhyetu....
Kwa sababu wanaume tunekuwa wachache!
Wakurya wametulia sana, na wanasifa zote za kiume, vimo, rangi, upendo na ujali wa familia upo juu. Tembea kwa watoto wa mtaani hutaona wakikurya. Njoo mpate mbegu muachane na kuzaa mbilikimo.