Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

mwamba ngoma huvutia kwake.na sisi akina "bombi hii nyumbi hii" tutasemaje kwa totozi za ktz.utadhan miili yetu ina superglue.lol
CC Deo Corleone
 
Last edited by a moderator:
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!

Labda wanavutiwa na Lafudhi yao.... pesa hawana maana kwa pesa wachagga ndio wanaongoza hapa Tanzania.
 
Labda wanavutiwa na Lafudhi yao.... pesa hawana maana kwa pesa wachagga ndio wanaongoza hapa Tanzania.

Wachaga kitambo....sasa wakinga wako juu kaulize kariakoo....wachaga "arm robbery"Mabinti wamechanika
 
Wachaga kitambo....sasa wakinga wako juu kaulize kariakoo....wachaga "arm robbery"Mabinti wamechanika

Tunaongelea kwa nchi wewe......kwani kariakoo ndio nchi nzima....tembelea mikoa mingine kama hutawakuta hao wakinga sio wafanyakazi wa ndani.
 
Wakurya wametulia sana, na wanasifa zote za kiume, vimo, rangi, upendo na ujali wa familia upo juu. Tembea kwa watoto wa mtaani hutaona wakikurya. Njoo mpate mbegu muachane na kuzaa mbilikimo.
 
Wakurya wametulia sana, na wanasifa zote za kiume, vimo, rangi, upendo na ujali wa familia upo juu. Tembea kwa watoto wa mtaani hutaona wakikurya. Njoo mpate mbegu muachane na kuzaa mbilikimo.

hakuna lolote kuna jamaa mmoja yuko pale zakhem ana mitoto mitano mama tofauti hakuna mtoto hata mmoja anayesoma wote wapowapo tuu eti sasa ndiyo anatafuta wa kumuoa mmh! wapeni sifa nyingine ila matunzo hakuna bwana mi nimekaa nao
 
Back
Top Bottom