Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Uzi mzuri huu... Mimi oyeee! Najua kupenda na kujali mura.... Sipendi upuuzi wowote. Heshima mbele. Kazi kwao tu...
 
Wewe uliza panya road kama walikatiza Kitunda au Kivule huku ndio kuna wanaume.
 
Wanawahiudumia michepuko kuliko mke, mke ukikabidhiwa ng'ombe na eneo la kulima usiulize matumiz, wanalma tumbaku, wanatahiriwa bila ganz, weng hawaoi mtu ambaye ajakeketwa, (jiandae kukeketwa), kwa kuoa wake weng ucseme, hawapend kusomesha watoto wa kike wanawaoza il wapate ng'ombe.
 
Mimi si mkurya but nina marafki zangu wengi wakurya, wote hao wanatabia tofauti ila kuna element ambazo wanafanana, ni wakali si wavumilivu wanatake seriously action kwa makosa madogo, wababe anachotaka yeye kifuatwe na ukubaliane nacho vinginevyo mnagombana, wapo muscular, wanapenda kazi za nje sana.
Kati ya hao niliokaribu nao watatu wameachana na wake zao wa ndoa, baada ya wake kushindwa kuwahili. Wanne ndoa zao ni spana mkononi wote ni ndoa za kanisani. Kazi kwako chaguo ni lako, dunia ni yako
 
Mimi siku dada yangu akiolewa na mkurya nitampa zawadi ya k-47,shoka,panga,manati,mkuki,kisu,kiwembe maana huko anakokwenda ni zaidi ya darfur.

Hahaaha ila Mkuu mi naulizia Tabia zao tofauti na kipigo wanachotoa
 
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!

endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...

mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..

hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..

Nimeipenda hii Mkuu but mnakosa kimoja hapa...to show that deep love
 
Well said mtoa nada wakurya wanajali sana na sio bahili yaani wanajua majukum yao kwa Wanawake zao ila kwa wale wakurya waliosoma wenye kujitambua......yaani wanajali balaa kikuhonga kwao sio issue utalelewa mpaka uone dunia yote yako ila óle wako umsaliti mkurya


Ila wanaringa Sana aisee
 
kuna mkurya mmoja sitamsahau kwenye maisha yangu...hawa watu wengi wao hawafai hata kidogo bora wachukuane wenyewe kwa wenyewe..
 
Labda wakurya waliokulia mjini... btw na je wanawake wa kikurya wakoje?
 
Tungekua wrote km wakurya nchi ingekuwa imenyooka maana hawa watu hawana longolongo,mzaha wala konakona ktk swala zima la Maisha maana cc wa tz mizaa tunapenda sana.......

Hii ndio point ya msingi zaidi na ndio maana makampuni mengi makubwa ya kibinafsi sikuhizi zinawajaza wakenya na waliosoma nje ya nchi...kwa kuona watz wasomi wana mzaha na longolongo nyiingi
 
Back
Top Bottom