Aristidi selestin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 384
- 57
Na wanawake zenu wakoje wanawake wa kikuria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada yangu kaolewa huko kwa wakurya hamna lolote la maana zaidi Ya ukoo mzima kutaka kuhamia kwake. Mume mwenyewe cha uvivu dada ndo anamweka mjini.
Hakuna cha kupendwa wala upendo.
Mume ni kuchepuka kila kukicha
Wanaume wa kikurya ni wabinafsi, wanatumia nguvu hata ambapo siyo maala pake pia wana tabia za kishirikina.
Watakuwa wahaya hao wakurya hatuna ushirikina.
Kwa wale wadada waliowahi au wenye wapenzi wakurya watakubaliana na mimi juu ya hili ila tunataka mwanamke awe mwaminifu tu asiwe kona kona au mduara utakula mema ya nchi naombeni mfute ila dhana ya kuwa wakurya tunapiga wanawake hayo yalikuwa zamani.
ha!ha!haaa!duh!
yaare maambo ya maama bhoke raara nikurare bhana! mmeacha kumbe.
Wakurya wanapendwa sana na ke kwa sababu wengi wao wanamashine kubwa na wanacheza vizuri.....hahaaaa dada karibu Bunda
mimi pia ni mkurya. Iwe siri yako sawa?Ni kweli kabisa wakurya wanajua kupenda na kujali mwanamke
ha ha nitamuoa mimi mkuryaMimi siku dada yangu akiolewa na mkurya nitampa zawadi ya k-47,shoka,panga,manati,mkuki,kisu,kiwembe maana huko anakokwenda ni zaidi ya darfur.
hayo yalikua enzi za 1800, we hujakutana na kijana mkurya, msomi, mwenye pesa, alivyo romantic. Yani hata kama hana pesa mungu alitujalia maumbile, wanapendwa sana na wadada wa kilimanjaro, manyara na dsmha!ha!haaa!duh!
yaare maambo ya maama bhoke raara nikurare bhana! mmeacha kumbe.
kwetu ukioa umeoa, hatunaga msamiati wa kuachana mkuu, zunguka bar zoye unazojua ukikuta barmaid mkurya uje nikupe laki.ha ha nitamuoa mimi mkurya
kweli mkuu dada zetu awawezi kuwa barmaid,ila mbona mabinti wengi wa kichaga ni barmaid naulizakwetu ukioa umeoa, hatunaga msamiati wa kuachana mkuu, zunguka bar zoye unazojua ukikuta barmaid mkurya uje nikupe laki.
Wadada wakikurya heshima kama yote anaanzia wapi kuuza bar!!
wakurya hatuamini ushirikina banaWakurya mnaamini sana mambo ya waganga! kwa kisingizio cha kuchinjia na matambiko kibao, sababu kubwa ni kwa ajili ya kuoa wake wengi, hivyo wanakuwa na chuki baina yao, kwa kuwa mwanamke hana uwezo wa kumpinga mmewe. Hivyo wanakuwa na vita za siri.
true thathayo yalikua enzi za 1800, we hujakutana na kijana mkurya, msomi, mwenye pesa, alivyo romantic. Yani hata kama hana pesa mungu alitujalia maumbile, wanapendwa sana na wadada wa kilimanjaro, manyara na dsm
Hellow Excelhellow lizzy!!