Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Muraaa...watu wameanza kukuogopa aisee..
K
nani tena ananiogopa eli?

iam not what they think..... this is a new born lover... we are lovers!!! not beaters!!

girls and women you get to read this.....!
 
wakurya heee ndo leo mara ya kwanza nasikia wanasifiwa nawaogopa hta kuwa nao karibu itabid nifanye research yang juu ya wakurya....

ila wasukuma oooh the know how to love n care a woman
 
Wanaojua kupenda huwa hawajinadi...ni dalili mbaya sana!

Wakurya? ni zigo la moyo...(samahani lakini)
 
Well said mtoa nada wakurya wanajali sana na sio bahili yaani wanajua majukum yao kwa Wanawake zao ila kwa wale wakurya waliosoma wenye kujitambua......yaani wanajali balaa kikuhonga kwao sio issue utalelewa mpaka uone dunia yote yako ila óle wako umsaliti mkurya
 
Wakurya n wababe kwa ujumla,wanapiga sio tu wanawake,hata wanaume,wanaume wa makabila mengne huwaogopa pia wakurya,wakurya ni vidume mtaani,wanaogopwa na jinsia zote,wakurya oyeeeeeeee!

Pili,tabia ya kupiga wanawake haiko kwa wakurya tu,ni tabia ya mtu binafsi,cric brown alimtwanga rihana wima wima hadharan kwan nae n mkurya?

Mwisho,am proud kuwa mkurya,wanawake n kitu kngne,usipokua makin ataku........!na huo ujinga ndio wakurya hatuintatein!
 
Nafasi zipo wazi piemu mkurya yeyote aje nimevutika mzima mzima jaman!mtima wangu uwazi niko tayari kuitwa mama chacha,Marwa,Mwita etc.
 
Hongereni ngoja na sisi wandengereko tujifunze kutoka kwenu.
 
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!

endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...

mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..

hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..

Hebu nisalimie wifi yangu hapo Kitunda.....
 
Hebu nisalimie wifi yangu hapo Kitunda.....

usijali mamii! yu mzima kabisa wa afya! hapa tunajiandaa na project mpya kabisa ya kuingiza magari ya mwendokasi kutoka nje ya nchi... huu mradi lazima niundeshe na wifi yako...

maisha mipango bana..!!
 
Nafasi zipo wazi piemu mkurya yeyote aje nimevutika mzima mzima jaman!mtima wangu uwazi niko tayari kuitwa mama chacha,Marwa,Mwita etc.

Nipo hapa ila useme wewe kabila gani makabila haya mwiko kwa Wakurya wahaya inasemekana wana roho mbaya,wazaramo hawa wanaongea sana na sisi hatutaki maneno mingi, wachaga wanapenda pesa ukiwa Msukuma itakuwa added advantages.
 
Nipo hapa ila useme wewe kabila gani makabila haya mwiko kwa Wakurya wahaya inasemekana wana roho mbaya,wazaramo hawa wanaongea sana na sisi hatutaki maneno mingi, wachaga wanapenda pesa ukiwa Msukuma itakuwa added advantages.
eh!vigezo ndo tatizo basi tena.
 
Back
Top Bottom