Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
Niaje wazeiyaaah....
EBANA SAWA :
Cku ya tatu leo nipo naperuzi mitaa mbali mbali ya hapa wanapaita jiji la Mwanza.....
Kwa kweli kitu kikubwa nilicho notice utofaut kati ya BONGO na mikoani ni kuwa watu wa mikoani ni washamba sana....
Jana mnakumbuka niliwapa baadhi ya ushahidi kwann nasema washamba, kuanzia tugari twao, ukija kwa madem zao, tu daladala twao twa mgongo wa kobe, yaan vitu vingi....
Sasa watu wakasema ooooh engineer hututendei haki watu wa Mwanza, Mbona mikoa mingine husemi?????
Nyie wa mikoani wote ni washamba tuu...
Dodoma (makao makuu)
Wakiona cruser mpya ina watu wamebeba equipments za utafiti wa udongo wanasema wanyonya damu na na parapanda itapigwa kijiji kizima...
Arachuga
Wakiona wazungu wamevaa smart glasses wanasema wanawachungulia sehem nyeti... Parapanda itapigwa Na sungusungu wanaitwa....
Aisee.... Hiyo mifano kiduchu tu inatoa general overview ya watu wa mikoani, sio wanaume sio wanawake woote ni WASHAMBA....
This month I will be very tight moving around all what you call big cities in TZ for official responsibilities....
While I move around, sitoacha kuwaletea ushamba wa wanaume na wanawake wa mikoani...
ARACHUGA JIANDAENI NAKUJA
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
EBANA SAWA :
Cku ya tatu leo nipo naperuzi mitaa mbali mbali ya hapa wanapaita jiji la Mwanza.....
Kwa kweli kitu kikubwa nilicho notice utofaut kati ya BONGO na mikoani ni kuwa watu wa mikoani ni washamba sana....
Jana mnakumbuka niliwapa baadhi ya ushahidi kwann nasema washamba, kuanzia tugari twao, ukija kwa madem zao, tu daladala twao twa mgongo wa kobe, yaan vitu vingi....
Sasa watu wakasema ooooh engineer hututendei haki watu wa Mwanza, Mbona mikoa mingine husemi?????
Nyie wa mikoani wote ni washamba tuu...
Dodoma (makao makuu)
Wakiona cruser mpya ina watu wamebeba equipments za utafiti wa udongo wanasema wanyonya damu na na parapanda itapigwa kijiji kizima...
Arachuga
Wakiona wazungu wamevaa smart glasses wanasema wanawachungulia sehem nyeti... Parapanda itapigwa Na sungusungu wanaitwa....
Aisee.... Hiyo mifano kiduchu tu inatoa general overview ya watu wa mikoani, sio wanaume sio wanawake woote ni WASHAMBA....
This month I will be very tight moving around all what you call big cities in TZ for official responsibilities....
While I move around, sitoacha kuwaletea ushamba wa wanaume na wanawake wa mikoani...
ARACHUGA JIANDAENI NAKUJA
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng