Wanaume wa mikoani bana... sijui lini mtajanjaruka!!!

Wanaume wa mikoani bana... sijui lini mtajanjaruka!!!

Kwanza unavotamka tuu,we umepitiliza kwa ushamba eti tu gari twao!!! Hahaaha
 
umeona mwenzio jana kaponda wanaume wa nje ya Dar we nawe unajaribu? ndo maana mnanenepeana matako na matiti wanaume wazima, hamna akili

Wanaume wa dar bhana..
1.Wamejifanya wajanja wamekula sana Chips kuku, burger....miaka imeaanda ikarudi Wanawake wao wakaanza kulalamika hawaridhishwi kitandani.(Wakezao wakapata faraja mikoani kwa hao wanaoitwa washamba).
2. Gym kila jioni na asubuhi kutunisha vifua tu, mara six pack..Wakaja Panya road wakawachezsha kwata jiji lote likazima(hakuna gym, wala six pack), Mara Scorpion Akawatoboa macho hadharani huku wanashuudia na vifua vyao vikubwa na six pack zao, sa hivi wamekuja Black Americans.

Mambo kama hayo huyapati mikoani Kwa wanaume tunaojua majukumu yetu .(NO TIME TO SHOW OFF)
 
Endelea kuzunguka na kujifunza Mikoani, najua ukimaliza ziara zako, Utakua umecopy mambo mengi ya mikoani na kuyapeleka kwa wanume wenzio wa dar....

Ila Usiache kwenda Mara please......
 
[emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] heheiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kwa kweli nashukuru nimehamia Dodoma maana wanaume wa dar sio kabisa... Halafu hata hayo mambo unayoshangaa huko mikoani kwako pia ni ushamba vilevile.
 
ACHA tunenepeane maisha mazuri, hela tunazo kwann tusinenepeane....
Point ya msingi hapa ni kuwa sie ni wajanja nyie ni washamba....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
kunenepeana makalio ndo ujanja? nani kakuambia kunenepeana matiti mtoto wa kiume ndo maisha mazuri
 
Uyu jamaa anajisifu kuwa yeye ni wa Dar kumbe anaishi tandale kwa bibi nyau
 
Niaje wazeiyaaah....

EBANA SAWA :
Cku ya tatu leo nipo naperuzi mitaa mbali mbali ya hapa wanapaita jiji la Mwanza.....

Kwa kweli kitu kikubwa nilicho notice utofaut kati ya BONGO na mikoani ni kuwa watu wa mikoani ni washamba sana....

Jana mnakumbuka niliwapa baadhi ya ushahidi kwann nasema washamba, kuanzia tugari twao, ukija kwa madem zao, tu daladala twao twa mgongo wa kobe, yaan vitu vingi....

Sasa watu wakasema ooooh engineer hututendei haki watu wa Mwanza, Mbona mikoa mingine husemi?????

Nyie wa mikoani wote ni washamba tuu...

Dodoma (makao makuu)
Wakiona cruser mpya ina watu wamebeba equipments za utafiti wa udongo wanasema wanyonya damu na na parapanda itapigwa kijiji kizima...

Arachuga
Wakiona wazungu wamevaa smart glasses wanasema wanawachungulia sehem nyeti... Parapanda itapigwa Na sungusungu wanaitwa....

Aisee.... Hiyo mifano kiduchu tu inatoa general overview ya watu wa mikoani, sio wanaume sio wanawake woote ni WASHAMBA....

This month I will be very tight moving around all what you call big cities in TZ for official responsibilities....

While I move around, sitoacha kuwaletea ushamba wa wanaume na wanawake wa mikoani...

ARACHUGA JIANDAENI NAKUJA

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
ukija nitafute nikuzungushe kwenye jiji na hii range yangu
 
Kwa akili kama za alieandika hii habari.... Sishangai kwanini dar kuna mashoga wengi.. Yaan akili zao hata kuku ana afadhali
 
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji90]
 
Back
Top Bottom