Wanaume wa Mikoani mnatia aibu sana!

Mnakopa mpaka nyama magari mpaka pussy mnakopa wanaume wa dar
 
Kwahiyo hizo V8 na Discovery 4 kadhaa zilizopo Dar ni mali ya wanaume wote wa Dar?na mikoani hayapo?anyway tumewasikia!
Leo nipo njiani natoka mkoani kwetu Arusha naenda Dar,na kwakweli nasafiri kwa basi la Abiria.
Nimekaa na mwanaume mwenzangu ila yeye kashasema ni mkazi wa Buguruni,anatokea arusha alipokuwa amepeleka gari kwa boss wake (boss wake ni mwanaume wa Arusha). Sasa sijui ndo usasa au ndo mambo ya wanaume wa Dar,tumesimama kupata chakula jamaa kanunua chocolate za kutosha na ice cream na kipande cha kuku aliyekaushwa. Ananiambia hapendi kula yeye mara nyingi huu ndio msosi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…