Mkija mjini manzie Coco Beach muoge maji chumvi,Maana mkija mjini mnanuka sana tukipanda nanyie katika daladala tunatamani kushuka!
Kingine mna wivu sana mkiona mtu katiia V8 au Discover 4 ,Prado utawasikia mnalinga kwa gari za mkopo!yani nakopa V8au SUV Yoyote unatokwa povu kisa??wakati wewe unaishi Gongolamboto nahuko wenye V8 ni wakuhesabu jifunzeni ustaarabu,
, pia jifunzeni kuwa smart katika sehemu za starehe mnalewa mnadondoka na wakati hamna usafiri manategemea daladala mtakuja kufanyiwa kitu mbaya na wanaume wa Dar.