Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Mwanamke mwema na mwenye busara atamfanya mpenzi wake ajione mtu kati ya watu na ajivunie kuwa naye.hahahaaaaaaas
Endelee na bata mzinga wako wazee wa moko bila au moko chali.....Mikoani utasuguliwa sana pichu kule mwezi Dsm rasha rasha tu no pooling due chpsi yai na kuku wa wiki wa ARV's.Wanaume wa mkoa jamani nimejuta na sitorudia tena kutoa penzi langu kwa mwanaume wa mkoa duuh
1. Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa
2. Huo mkwapa utasema kuna kichaka
3. Usafi wa mdomo janani ndio sifuri kabisa,wanaume wa mkoa wengi mnanuka midomo sababu ya kuendekeza pombe za kienyeji
4. Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna mpamgilio mzuri wa kuvaa kama wanaume wa dar,yani mwanaume wa mkoa utamkuta nguo inavaliwa mwezi bila kufuliwa, na kwenye makufuli ndio nachoka kabisa chefuuuuu ,na ndio maana wanaume wa mkoa huwa mnapenda kusex gizani ili mfiche uchafu huo
5. Mapenzi ndio hamjui kabisa,hata kukiss hujui,kumtoa out mpenzi wako hujui,na kwa ubahili ndio msiseme looh
View attachment 416378
Wanaume wa Dar endeleeni kutufaidi watoto wazuri,vigezo mnavyo jamani
TeeenaaaaaaaaaaWasisemwe wa mikoani tuu hata Dar. Ila hata wanawake wananuka vikwapa kama kitunguu swaum. Deo za bei rahisi zipo kibaao. Tena roll on ya dove ni nzuri sana na ni rahisi. Unapishana na mwaume Dar jua kali kavaa tai na jacket, smart, vuta pumzi duuu. Hata wadada. Hii hali ipo kotekote. Kwingine sijui. Nguo za ndani hazivaliwi mara mbili jamani.
Naye hakuzitendea haki hizo nguo na pia hawatendei haki abiria kwa huo ucha..fHeshimu kazi za watu banaaaaa .....huyo Kondakta ujamtendea haki
Natabiri hakutatimia masaa 24 bila kuanzishwa uzi wa wanaume wa dar[emoji23]