Wanaume wa mkoa jamani ni wachafu, 'mfyuuu'

Wanaume wa mkoa jamani ni wachafu, 'mfyuuu'

Haloooooooooooooooooooooooooooooooo........sina shaka na wewe utakuwa ni mwanaume wa nachingwea
Heheiyaaaaaaaaaaa
Haaaa[emoji2] [emoji1] [emoji1] chupi mkoni du nilikuwa sijuw ulijuwa wanaume tafauti na wa dar utahogwa unapigwa vitasa vyaa maana unapewa sh 5000
 
Dar ni mwendo wa mahandsome jamani....ukikuta mwanaume mchafu ujue kaja kusalimia ndugu zake kutoka mkoa
Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri, kwakua sijajua jinsia yako but kama upo Dar nawe ni mwanamke huenda unajiuza na ulikutana na mkulima katoka shambani ukamvulia pupi akapiga mzigo wa kueleweka kisha akakuacha bila senti na kama ni mwanaume nadhani ndio waleee wenye homoni za kike muda wote wanavaa vitop na vipedo kisha wanakwenda kutatuliwa marinda na wanaume waliokandwa vizuri na nguvu sio za kusuasua. Kazi unayo[emoji4] [emoji4]
 
hata mm nashangaa!
Labda dar ni nchi inayojitegemea.
Hawa wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa. Hawajielewi kbsa ni wazuri kwa kugegeda tu na siyo kuoa. Yaan huyu ukimuoa ni hasara kbsa hawezi kukusaidia kimaendeleo zaid ya kukurudisha nyuma kimaendeleo. Hawezi kukushauri kitu cha maana.
Unaweza kuwa naye lkn hata siku moja hawezu kukushauri ununue hata kiwanja.
Hawa ndiyo wale ukiishiwa pesa anakukimbia.
Mm nilitegemea utamfanya jamaa awe msafi kumbe?
Enzi zile kabla ya utandawazi. Mwanamke akiliwa huwa ana kaa kimyaa. Hatangazii
lkn nyakati hizi za tigo pesa wanajitangaza kbsa
Kwa maelezo yake hajagongwa na mwanaume mmoja, haiwezekani hizo sifa zote alizo toa ziwe
za mwanaume mmoja... inaonekana hao wa mkoani wamemfaidi....
 
Nimesoma uzi wako neno kwa neno nikitafuta mahali utakapolalamikia huduma uliyopewa na mwenzetu wa mkoani, sikupaona.

Hivyo basi, nitumie fursa hii adhimu, kumshukuru na kumpongeza kwa dhati kabisa mwenzetu huyo kutuwakilisha vyema huko ugenini.

Aidha, kuhusu kile ulichokiita uchafu wa mwenzetu huyo, haukuwa uchafu bali ni vumbi la pesa za mavuno ambapo asilimia 0.0000001 ya pesa hizo ulilipwa kama asante sawa na shilingi 7M, na ndio maana katika uzi wako pia hukulalamikia suala la malipo.

Mwisho, nitoe rai kwa wanaume wenzangu wote wa mkoani, kuhakikisha wanadai risiti za kielektroniki(efd) kila wanapotoa ile asilimia 0.0000001 kwa hao viumbe wa dar.

Mwenyekiti wa wanaume wa Mkoani.
 
Sasa hivi Dar es salaam ni mkoani....kama mwanza au arusha......bt dodoma ndo penyewe bibie....ndio makao makuu yalipoooooo
 
Wanaume wa mkoa jamani nimejuta na sitorudia tena kutoa penzi langu kwa mwanaume wa mkoa duuh

1. Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa
2. Huo mkwapa utasema kuna kichaka
3. Usafi wa mdomo janani ndio sifuri kabisa,wanaume wa mkoa wengi mnanuka midomo sababu ya kuendekeza pombe za kienyeji
4. Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna mpamgilio mzuri wa kuvaa kama wanaume wa dar,yani mwanaume wa mkoa utamkuta nguo inavaliwa mwezi bila kufuliwa, na kwenye makufuli ndio nachoka kabisa chefuuuuu ,na ndio maana wanaume wa mkoa huwa mnapenda kusex gizani ili mfiche uchafu huo
5. Mapenzi ndio hamjui kabisa,hata kukiss hujui,kumtoa out mpenzi wako hujui,na kwa ubahili ndio msiseme looh

View attachment 416378

Wanaume wa Dar endeleeni kutufaidi watoto wazuri,vigezo mnavyo jamani
.....hahahahaha...dar es salaam....siku hizi ni mkoa aseeee bibie.... Sema dodoma ndo makao makuu bibie...xo iyo mbunye ako ipeleke dodoma
 
Ha ....

1476211123490-jpg.416378



Hee ....
 
Sasa hivi Dar es salaam ni mkoani....kama mwanza au arusha......bt dodoma ndo penyewe bibie....ndio makao makuu yalipoooooo
Unapoongea mkoani unamaanisha vijijini, Dar ni jiji/mjini hata iwe makao makuu Dodoma bado mkoani,
hauna hadhi sawa na Dar.
 
zipu inameno lakini haipigi
Mswaki...[emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] [emoji381] babuuuu heheeeee
 
Back
Top Bottom