Wanaume wa mkoani muwe mnakumbuka kusugua meno

Wanaume wa mkoani muwe mnakumbuka kusugua meno

Mtoa mada mbwa na unafilwa kabisa acha dharau afu kumbuka saizi jiji la mastarehe ni Dodoma,acha story za abunwasi eti kenge kagoma kwenda shule.
Miaka mia saba embu jaribu ku google Avic town hapo uone iko mkoa gani hata ulaya inasubiri dodoma ni kichaka tu subiri awamu hii ya jiwe iishe.
 
Hivi kweli kosa la mleta Mada liko WAP? Jamani kunuka mdomo kunaboa, hii Mada ingekuwa inahusu mwanamke tungekoma Leo.

Binafisi spendi mwanaume Mwenye harufu yeyote mbaya, bora akose pesa kuliko kunuka mdomo.
Ukiona povu jingi naye ndiyo wale wale anakwambia bafuni dakika 2 katoka, mswaki kuoga vyote dakika 2 piga pic
 
Ulikua unamnusa mdomo ulitaka akupige lita?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mtu akikusalimia kwa karibu lazima upate smell [emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom