dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
- Thread starter
- #21
Kama ambavyo mnavyotuona sisiHivi watu wa mikoani mna tuonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo mnavyotuona sisiHivi watu wa mikoani mna tuonaje?
😂😂Acha uboya
Mkuu mkija mjini mnabeba malaya sio warembo wa ukweli
Huo uboya upo wapi kati ya kusoma au kuandika nilichosoma!!Acha uboya
utani mkuuSio utoto?
HahaaaManeno tu unayotoa yanaonesha hupigi mswaki. sasa hiyo tgo unayogawa unasafisha kweli!?
Nimecheka na ninacheka japo hata sielewi unamaanisha nnMwanaume kuhema
kila siku ni uzwange
Mwanaume
unatakiwa kubana
pumzi mpaka
parapanda
itakapolia.
wakiambiwa ukweli wanavimba hao kama kimbofaHivi kweli kosa la mleta Mada liko WAP? Jamani kunuka mdomo kunaboa, hii Mada ingekuwa inahusu mwanamke tungekoma Leo.
Binafisi spendi mwanaume Mwenye harufu yeyote mbaya, bora akose pesa kuliko kunuka mdomo.
Miaka mia saba embu jaribu ku google Avic town hapo uone iko mkoa gani hata ulaya inasubiri dodoma ni kichaka tu subiri awamu hii ya jiwe iishe.Mtoa mada mbwa na unafilwa kabisa acha dharau afu kumbuka saizi jiji la mastarehe ni Dodoma,acha story za abunwasi eti kenge kagoma kwenda shule.
Mpige ban huyo hauoni ana tukanaAcha umama nimefikaa sema sasa
Ukiona povu jingi naye ndiyo wale wale anakwambia bafuni dakika 2 katoka, mswaki kuoga vyote dakika 2 piga picHivi kweli kosa la mleta Mada liko WAP? Jamani kunuka mdomo kunaboa, hii Mada ingekuwa inahusu mwanamke tungekoma Leo.
Binafisi spendi mwanaume Mwenye harufu yeyote mbaya, bora akose pesa kuliko kunuka mdomo.
Uchafu tu kama uchafu mwingine [emoji23][emoji23][emoji23]wakiambiwa ukweli wanavimba hao kama kimbofa
sasa si wakubali tu mbona wana panic wakati huwaga wana tusema then sisi tuna kausha tuUchafu tu kama uchafu mwingine [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mtu akikusalimia kwa karibu lazima upate smell [emoji2][emoji2]Ulikua unamnusa mdomo ulitaka akupige lita?