Wanaume wa mkoani wanapoingia jijini

Wanaume wa mkoani wanapoingia jijini

Kumbe huo ndio ushamba mkuu. Nilifikiri huo ndio uanaume maana huko dar wengi mabashite
upload_2017-5-13_14-51-27.jpeg
 
Alafu asilimia 90 mnatoka sitimbi na wengine mnatoka litisha, wenyewe mnajiita wanaume wa Dar, mtakimbia mpaka sisimizi road
 
Wa Bukoba wameji-import wako huku Dar vichochoroni wala haina haja kuja huko tsh.2500-3000 mpaka chuma mboga na katarelo unapata mkuu.
[emoji23] [emoji23]


Hao ni wa Bukoba, Arusha na Kilimanjaro wamekuja mjini kutafuta...wengi ni Mabarmaid na wengine wapo vichochoroni


Yaani wajanja wa mjini hawalipi hela nyingi kama nyie wa mikoani.
Labda uende uwanja wa fisi ndo unaweza kupata hata bure
 
Kibaya zaidi sisi tukija huko mikoani tunagegeda bure bila kutoa hata senti.
Akisikia tu umetoka dar wanakupapatikia wenyewe wengine wanang'ang'nia uwatoroshe uje nao dar.
Sio kwa Chuga.....Madem had washkaj niwaelewa sana hawananga hizo mamboo....Sema madem waDsm ndo wanashoboka na midume ya Chuga
 
Nikiwa mitaa Fulani hapa katika jiji linalotamaniwa na wengi hapa Tz.
Nikawasikia kinadada wakipiga story.

Dada wa kwanza;
Hii mvua jamani haitupi nafasi hata ya kupumua.!

Dada wa pili;
Shoga iache tu inyeshe, inaleta mishahara kutoka mikoani hiyo.!!

Dada wa kwanza;
Kwanini shosti?

Dada wa pili;
Shosti na we unakuwa kama shamba, hiyo inaleta pesa za mavuno kutoka mkoani.
Hao washamba wakishauza mazao yao huko wanajileta wenyewe.!

Dada wa kwanza;
Heheee, umeona eee!! Unamfungia ndani kumlea babu wee.!! Simbakizii hata nauli ya kwendea kwa bibikizee lake huko lisojua kuhendo.!

Dada wa pili;
Heheee, tena mletee na zawadi ya boxer, hapo ndo umemaliza kabisa hata iliyobaki m-pesa atakurushia.!!

Sasa hapo ndio nikapata kuelewa kumbe hiki ndo wanachofanyiwa wanaume wa mkoani wajapo hapa jinini.

Punguzeni ushamba hii ni Dsm, mtaua watoto wenu bure kwa njaa huko kwenu kwasababu ya ushamba wenu.
Kumbe hata boxer tu ni kivutio kikubwa sana kwenu.!!

Wadada wa Dar wakamueni pesa tu hamna namna.

Mwanaume wa Dar ktk ubora wako [emoji28]
 
Nikiwa mitaa Fulani hapa katika jiji linalotamaniwa na wengi hapa Tz.
Nikawasikia kinadada wakipiga story.

Dada wa kwanza;
Hii mvua jamani haitupi nafasi hata ya kupumua.!

Dada wa pili;
Shoga iache tu inyeshe, inaleta mishahara kutoka mikoani hiyo.!!

Dada wa kwanza;
Kwanini shosti?

Dada wa pili;
Shosti na we unakuwa kama shamba, hiyo inaleta pesa za mavuno kutoka mkoani.
Hao washamba wakishauza mazao yao huko wanajileta wenyewe.!

Dada wa kwanza;
Heheee, umeona eee!! Unamfungia ndani kumlea babu wee.!! Simbakizii hata nauli ya kwendea kwa bibikizee lake huko lisojua kuhendo.!

Dada wa pili;
Heheee, tena mletee na zawadi ya boxer, hapo ndo umemaliza kabisa hata iliyobaki m-pesa atakurushia.!!

Sasa hapo ndio nikapata kuelewa kumbe hiki ndo wanachofanyiwa wanaume wa mkoani wajapo hapa jinini.

Punguzeni ushamba hii ni Dsm, mtaua watoto wenu bure kwa njaa huko kwenu kwasababu ya ushamba wenu.
Kumbe hata boxer tu ni kivutio kikubwa sana kwenu.!!

Wadada wa Dar wakamueni pesa tu hamna namna.
 
Wanaume wa dar hamna lolote mbn huku mikoan mnakua ma buxhoke tu mkija
 
Nikiwa mitaa Fulani hapa katika jiji linalotamaniwa na wengi hapa Tz.
Nikawasikia kinadada wakipiga story.

Dada wa kwanza;
Hii mvua jamani haitupi nafasi hata ya kupumua.!

Dada wa pili;
Shoga iache tu inyeshe, inaleta mishahara kutoka mikoani hiyo.!!

Dada wa kwanza;
Kwanini shosti?

Dada wa pili;
Shosti na we unakuwa kama shamba, hiyo inaleta pesa za mavuno kutoka mkoani.
Hao washamba wakishauza mazao yao huko wanajileta wenyewe.!

Dada wa kwanza;
Heheee, umeona eee!! Unamfungia ndani kumlea babu wee.!! Simbakizii hata nauli ya kwendea kwa bibikizee lake huko lisojua kuhendo.!

Dada wa pili;
Heheee, tena mletee na zawadi ya boxer, hapo ndo umemaliza kabisa hata iliyobaki m-pesa atakurushia.!!

Sasa hapo ndio nikapata kuelewa kumbe hiki ndo wanachofanyiwa wanaume wa mkoani wajapo hapa jinini.

Punguzeni ushamba hii ni Dsm, mtaua watoto wenu bure kwa njaa huko kwenu kwasababu ya ushamba wenu.
Kumbe hata boxer tu ni kivutio kikubwa sana kwenu.!!

Wadada wa Dar wakamueni pesa tu hamna namna.
Mikoani ndo wapi?
 
Back
Top Bottom