Sio utaratibu wangu kujibu watu vibaya nilimjibuje?Ndiwooooo yaani nilikuwa sipendi zile avatar zako nilitakaga kukwambia sema kuna siku ulimjibu vibaya mtu alikwambia urudishe avatar hii
Nani uyo anakukojozaa tena mkuu.?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakojoaaaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo sasa shida hazikauki..samahani sana kaka sina kipaji cha kuhonga mwanaume...Mamaaaaaeeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojoaaaaaa unaweza ukajua umepata G wako kama Mama Sabrina kumbe G unafanywa wewe
Mumu ohooooooooBwana pepsiiiii wooiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo sasa shida hazikauki..samahani sana kaka sina kipaji cha kuhonga mwanaume...Mamaaaaaeeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojoaaaaaa unaweza ukajua umepata G wako kama Mama Sabrina kumbe G unafanywa wewe
hahahaEeeenh nikukopeshe ukimbie na jf halafu urudi na I'd mpya
Maana unavyoonekana nj kama umepigwa weweKweli tena
munkari mpunguze waungwana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sio utaratibu wangu kujibu watu vibaya nilimjibuje?
halafu zile kuna mama yako mdogo alikuwa ananichagulia...
[emoji16] [emoji16] [emoji16] siamini kama wajibidiisha,Yaani hapo kwenye kuhanagaika ndio penyewe...Jamaniii akina Dada tunaamka lukwilii kwenda kupambana na hali zetu tunauza hadi ming'okoo na panya ili tupate rizki...halafu mwanaume unaejiita rijali unapanga kupiga vizinga aseee wanaume dizaini hii mnahitaji rehema mnoo...acheni umarioo fanyeni kazi...utatapeli wangapii??utabadili laini ngapii??utahama location ngapi??mfyuuuu
Siku hizi hakuna rizki kitako,lazima uamke uliache shuka ukapambane,.wanaume wenye tabia hii muache mtakuja pigwa risasi za kichwa kama sio za.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
Nimeacha.Hili neno 'chizi wewe' litageuka ukweli ujue?
Bwana pepsii nasikia hatari kwa afya ya raia[emoji23]Mumu ohoooooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sadaka zimefanyaje??[emoji16] [emoji16] [emoji16] siamini kama wajibidiisha,
Vipi sadaka za waumini ?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] wooooooooiiiiiiBwana pepsii nasikia hatari kwa afya ya raia[emoji23]
[emoji16] [emoji16]Hasa vijana wa Dar. Hawapendi kazi ila kujikweza sasaaa. Kumbe hela za bata wanakopa wanawake wakawape bata wanawake wengine. Wengine hata line hawahami mama wanakomaa na wewe kama vile hawaoni unavyodai.
Sema kukopa kuna mmoja achkia ko humu anakopa na harudishi