kwan madem hawabet boy???
Vijana mnakopa hela mkabeti...seriously???
Etiii?Utamuona mtu jukwaani anajifanya ana mahela ana magari kumbe anasimamia bomba kama shunie la mwendokasi
Bwana mwambie hatuzitakiii tunaitaka hii nakumbuka ulimjibu hata uliyoweka utaipenda sijuiSio utaratibu wangu kujibu watu vibaya nilimjibuje?
halafu zile kuna mama yako mdogo alikuwa ananichagulia...
Kashaskia atakulike najua.Bwana mwambie hatuzitakiii tunaitaka hii nakumbuka ulimjibu hata uliyoweka utaipenda sijui
Bwana pepsiiiii wooiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani uyo anakukojozaa tena mkuu.?!
[emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo sasa shida hazikauki..samahani sana kaka sina kipaji cha kuhonga mwanaume...
HahahahahaaaUmbea utaniua Mimi.
Nihurumieni jamani. Nijege huko piem
hahaha
Huyu hamonaizi wa jf ndiyo yupi huyo
Ishiii....punguza basi unaa mshikaji wangu..duh!!!
Hizi ndiyo nyuzi ninazozipenda.
Hahahahaha leo masela wamekamatika, hapo kwenye kubeti umewapata wengi kwelikweli
Na jinsi weekend inavyoboa. Acha tuMama wa nyuzi zako
Wengine wanakopa wakabeti...lol hivi watu tunahaha kutafuta hela za mitaji wao wanakopa za kubetia...mayo zaoo...
Etiii?
Kashaskia atakulike najua.