Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Kuwa mama vicky basiAlaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo unaniambiaje sasa baba V??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mama vicky basiAlaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo unaniambiaje sasa baba V??
Akuuu[emoji23]magimbi yenyewe hayaivii siku hizii magumu kama jiwee[emoji47]We mkope tu akikuzngua nshtue
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] umenikumba ming'koo wenyewe wanavyo itafunaga, japo mie haipandi ila nishaonjaYaani hapo kwenye kuhanagaika ndio penyewe...Jamaniii akina Dada tunaamka lukwilii kwenda kupambana na hali zetu tunauza hadi ming'okoo na panya ili tupate rizki...halafu mwanaume unaejiita rijali unapanga kupiga vizinga aseee wanaume dizaini hii mnahitaji rehema mnoo...acheni umarioo fanyeni kazi...utatapeli wangapii??utabadili laini ngapii??utahama location ngapi??mfyuuuu
Siku hizi hakuna rizki kitako,lazima uamke uliache shuka ukapambane,.wanaume wenye tabia hii muache mtakuja pigwa risasi za kichwa kama sio za.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo ntakuwa mama vicky tuu??Kuwa mama vicky basi
[emoji16][emoji16][emoji16]ming'oko na chumvi ya kulia embe[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] umenikumba ming'koo wenyewe wanavyo itafunaga, japo mie haipandi ila nishaonja
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wengine wanakopa wakabeti...lol hivi watu tunahaha kutafuta hela za mitaji wao wanakopa za kubetia...mayo zaoo...
Hapana ... Hafu leo nipo serious mkuu ... Jaman nisaidien.... Nakufa mwenzenu nakapenda sana haka ka mumu kauza magimbi wakuu ... Dah[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo ntakuwa mama vicky tuu??
Ntayanunua yoteAkuuu[emoji23]magimbi yenyewe hayaivii siku hizii magumu kama jiwee[emoji47]
Niliishi kule [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ila asili zawatu hizo, nasikia huko mbagala na mbele yake ipo wanauza[emoji16][emoji16][emoji16]ming'oko na chumvi ya kulia embe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuu umeamua kufunguka kwenye uzi wa deni??Hapana ... Hafu leo nipo serious mkuu ... Jaman nisaidien.... Nakufa mwenzenu nakapenda sana haka ka mumu kauza magimbi wakuu ... Dah
Yeah ipoo..mm mwenyewe haipandi ila najua hadi kuichimba[emoji3]Niliishi kule [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ila asili zawatu hizo, nasikia huko mbagala na mbele yake ipo wanauza
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfyuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa haaaa hongera hadi kuishimba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nishaiona huko poriniYeah ipoo..mm mwenyewe haipandi ila najua hadi kuichimba[emoji3]
Ipoo kibwenaa,ila mingine sumu..[emoji23][emoji23][emoji23]mwenzio hadi panya nachimba sembuse ming'okoHaaa haaaa hongera hadi kuishimba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nishaiona huko porini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sitaki kwanza mazoea hachelewi uzushi utasikia yule sister ananizimikia pusi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfyuuuu
Uje unipige tena Mzinga? wa Hela Nyingi? Nikose Amani kazini? Nidondoke kwa Presha? Hapana kabisaWoiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm huyuu...unikope tena,unizungushe,useme unaumwa figo,uzime na simu,nianze kukutafuta kwa majirani,nisononeke,biashara yangu iyumbee hapana Jamaniii mm sitaki mkopoo sitakii kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuzimikiwa mchezoo...Mie sitaki kwanza mazoea hachelewi uzushi utasikia yule sister ananizimikia pusi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] tunakuwa tunaota, utasikia wakubwa wanafaidi jamani, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuzimikiwa mchezoo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]where have you been jamanii Alfred,.??Uje unipige tena Mzinga? wa Hela Nyingi? Nikose Amani kazini? Nidondoke kwa Presha? Hapana kabisa
Wakubwa hawapigi mizinga ya nyuki ndio maana wanafaidi mambo mazuriiii[emoji23][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] tunakuwa tunaota, utasikia wakubwa wanafaidi jamani, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app