Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
nkubalie basii dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuu umeamua kufunguka kwenye uzi wa deni??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nkubalie basii dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuu umeamua kufunguka kwenye uzi wa deni??
Kuwa mama v???nkubalie basii dear
Yaani siku ndiyo tunajichekesha [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] utasikia nnikusaidie kubeba mzigo jamani [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wakubwa hawapigi mizinga ya nyuki ndio maana wanafaidi mambo mazuriiii[emoji23]
Yaaanii...wanajua sana jomoniii...wanabeba hadi handbags[emoji23][emoji108]Yaani siku ndiyo tunajichekesha [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] utasikia nnikusaidie kubeba mzigo jamani [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzoeana nao nikujibebesha bomu, siku ya siku unaaibishwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda waleYaaanii...wanajua sana jomoniii...wanabeba hadi handbags[emoji23][emoji108]
Mamaaaaaeeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojoaaaaaa unaweza ukajua umepata G wako kama Mama Sabrina kumbe G unafanywa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tulale shogaangu...tukatafute zingine tukopwe[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Kuzoeana nao nikujibebesha bomu, siku ya siku unaaibishwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda wale
wanaolea viserengeti wao waendelee tu huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hiviiiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]pambe tyuuu[emoji108][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umeona eehh
Wanapaka shedo sembuse kudanga...Makubwa, wanaume nao siku hizi wanadanga!??
Hahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwaMpenzi hata sijaelewaa ,nieleweshee,halaf nikasome uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm huyuu...unikope tena,unizungushe,useme unaumwa figo,uzime na simu,nianze kukutafuta kwa majirani,nisononeke,biashara yangu iyumbee hapana Jamaniii mm sitaki mkopoo sitakii kabisaaa
Tulale unono babe wanguu....Hahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwa
Soma uzi sasa nalala
Naona we unakeshaTulale unono babe wanguu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji482][emoji482][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha G wangu teeenaa ,nimesoma ndio nikaelewa acha kabisa aisee wanaume wanaojielewa lazima watunze wapenzi wao au wake zao,hawa mario watapata tabu sana,na wanawake wanaowalea sidhani kama wana furahaHahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwa
Soma uzi sasa nalala