Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Mnahangaika nn mgeuza wanaume vitegauchumi.wanawake mnawatesa sana wanaume.
 
Mpenzi hata sijaelewaa ,nieleweshee,halaf nikasome uzi
Hahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwa

Soma uzi sasa nalala
 
Woiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm huyuu...unikope tena,unizungushe,useme unaumwa figo,uzime na simu,nianze kukutafuta kwa majirani,nisononeke,biashara yangu iyumbee hapana Jamaniii mm sitaki mkopoo sitakii kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwa

Soma uzi sasa nalala
Tulale unono babe wanguu....
 
Hahahaha umeona G katajwa umechanganyikiwa mama nimetoa mfano kuwa mwanaume marioo unaweza tongozwa ukajua mwanaume wa maana anakupenda na kukujali kama vile G unavyomsifiaga anakujali kila sehemu ukajua na ww umepata G wako tena kama mama sabrina kumbe umepata marioo mpaka kuombwa hela na kukopwa

Soma uzi sasa nalala
Hahahahaha G wangu teeenaa ,nimesoma ndio nikaelewa acha kabisa aisee wanaume wanaojielewa lazima watunze wapenzi wao au wake zao,hawa mario watapata tabu sana,na wanawake wanaowalea sidhani kama wana furaha
 
Back
Top Bottom