mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Inaonekana jf mnakutana na mengi aiseee sie wengine tupp tupo humuNakazia hapo yaani hapo
Wanajikweza hata mia hawana mwanaume unamdangiaje mwanamke unajua hela yake anaitafuta vipi
Wanaume fanyeni kazi hata ya kubeba zege waache kukopa wanawake na kuwadangia acha kujikweza hata kumi huna
Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke usawa uko sehemu chache tu,nature tayari imeshaselect so haijalishi mnafanya kazi wapi au wapi the issue is no equality at all ndo maana kuna muda mwanamke anaambiwa huyu kama dume vile kama but not!!!Niliwahi kuuliza kama kuna haki za wanawake za wanaume ni zipi? Shule tunaenda sote tena kipaumbele wanapewa wanawake, ajira tunapata wote tena sometym unakuta idara moja mshahara sawa.!
Halafu unakuta bado mtu anajifanya eti anataka pesa apewe yeye tu kisa mwanamke!![emoji53][emoji53]
Kongore mkuu yamkini wewe ni miongoni mwa wanawake wachache wanao jua huo ukweli mwanaume aliye na mahusiano nawe atakuwa kapata kitu cha thamani sana kama akitambua hilo.Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke usawa uko sehemu chache tu,nature tayari imeshaselect so haijalishi mnafanya kazi wapi au wapi the issue is no equality at all ndo maana kuna muda mwanamke anaambiwa huyu kama dume vile kama but not!!!
Huo ndo ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali elimu,cheo au fedha sio kigezo cha equalizer nature!! Mimi ni mwanamke tu regardless anything!!!Kongore mkuu yamkini wewe ni miongoni mwa wanawake wachache wanao jua huo ukweli mwanaume aliye na mahusiano nawe atakuwa kapata kitu cha thamani sana kama akitambua hilo.
Yap atleast, kuna wachache wanaojitambua ungekuwa wangu mkuu ningekutafuna kama kuku mteketeke nisingeacha mfupa hata mmoja kwa utamu ulio nao. Kifikra...Huo ndo ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali elimu,cheo au fedha sio kigezo cha equalizer nature!! Mimi ni mwanamke tu regardless anything!!!
Fat point[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke usawa uko sehemu chache tu,nature tayari imeshaselect so haijalishi mnafanya kazi wapi au wapi the issue is no equality at all ndo maana kuna muda mwanamke anaambiwa huyu kama dume vile kama but not!!!
Nimepigwa marufukuu[emoji23]Hahaaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] chaumbea on fleek
Kuna kipindi fasheni yenu ya mizinga ilikuwa 'nina shida ya laki 3'......siku hizi naona imewageukia mnakopwa,mnaliwa,mnakimbiwa mnakuja kulialia mitandaoni! Mjini shuleni fungeni miguu na pochi zenu shubaaaamit!Mi mwenyewe natafuta mtu anipe laki 3 hapa..