Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Unakula pesa ya mwanamke wa Kiswahili,msikiliza mipasho hakuna rangi utaacha kuona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]cha mtu mavi!!bora unile nyapu maana utamu si tunaona wote kuliko hela yanguu!!!
 
Mwanamke anaweza akala laki yako kwa kumgharamia ila mwanaume ukachili tu ila mwanaume ukila jero tu ya mwanamke atakutangaza mtaa mzma na kwa social networks zote,cjui mkoje lkn....hamjui kama mapenz sio kuhongana bali n kusaidiana mfikie lengo lenu...mnaamin mwanaume hafulii kamwe,mnajua tunafyatua pesa tu yaan
 
Lakini sio waJf jamani. Huku watu na mindinga yao hawawezi kutapeli kalaki kwa mdada jamani..
Unasemaje?!!jf ni wapi[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]!!pole shogaa..usiamini kila ukionacho bibie..humu wapo hao wenye mindinga na matapeli wapo kibaooo!!tena wengi tuu!!

Usiombe wakufurahishe humu!
 
Weeeeee. Nilitapeliwa mara moja kwa kujenga imani japo hela zake nilikula ndo maana alivyoleta shida nilimsaidia ba akanipiga ila zaidi ya hapo hakuna jambo la mie kutapeliwa tena.
Ukipigwa Mara moja unakua makini siku nyingine!!
 
Back
Top Bottom