Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtaani tz 11 tuuMaviiii. Huku maigizo mengi hasa wanaume mama. Hayo mandinga yako JF tu mtaani nehii
Kuvumiliana bora uwe bby kidogo ukiniambia vumilia mama naelewa. Sasa na namba unabadilisha ntavumilja nini hapo kama sio kutema nyongo?Magu kabana mama,
Mbona malalamiko haya hayakuwepo enzi za jakaya??
Tuko katika kipindi cha mpito, mtuvumiliee.
Weeeee ishia hapohapo ....kuna watu humu wanakaa kwa shemeji zao ohooooLakini sio waJf jamani. Huku watu na mindinga yao hawawezi kutapeli kalaki kwa mdada jamani..
Me mwenyew mdangaji nakosaje kuunga mkono hoja kutoka chamani he he he he heUtaunga mkono hoja ya kukutoa chama cha wadangaji shauri yako
Yani nimekua zaidi ya makini sasa hivi..Ukipigwa Mara moja unakua makini siku nyingine!!
Nimevimbiwa hapa nacomment kwa shidaaaaa ...ntasoma chakula kikipungua tumboniSoma bwanaa!!katibu[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]
Chizi wewe.Labda nikuseme kwa tabia yako ya kunikabidhi mshahara wako halafu waja kuomba nikukopeshe.....teh teh.
Umeona eeehh!!Mimi aanze kunipa yeye kwanza...!!!ila unajua mazoea nayo unamuamini mtu mfano mkwe we na don..mfano tu lakini ikitokea kakuomba umkopeshe utashindwaa...!!
Kujitafutia fedheha tuuNajiuliza kapata kitu gani hadi kufikia hapo
Mmmh aisee. Aibu nimeona mimi.Unasemaje?!!jf ni wapi[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]!!pole shogaa..usiamini kila ukionacho bibie..humu wapo hao wenye mindinga na matapeli wapo kibaooo!!tena wengi tuu!!
Usiombe wakufurahishe humu!
Hapa hatuzungumzii wapenz!!!Mwanamke anaweza akala laki yako kwa kumgharamia ila mwanaume ukachili tu ila mwanaume ukila jero tu ya mwanamke atakutangaza mtaa mzma na kwa social networks zote,cjui mkoje lkn....hamjui kama mapenz sio kuhongana bali n kusaidiana mfikie lengo lenu...mnaamin mwanaume hafulii kamwe,mnajua tunafyatua pesa tu yaan