Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kama siku kufa wakati uleeeeee, basi saizi siwezi nikakufa kwa jaka moyo haki......[emoji12] [emoji12][emoji2] [emoji2] [emoji2] utamtia presha kaka wa watuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama siku kufa wakati uleeeeee, basi saizi siwezi nikakufa kwa jaka moyo haki......[emoji12] [emoji12][emoji2] [emoji2] [emoji2] utamtia presha kaka wa watuu
Sitaki kukumbuka mkuu, maana damu itamwagika na humu ndani patachafuka...[emoji12] [emoji12]Wakati gani[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]jamaniii miye sijui ujueee!!hebu nipee
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lkini huyo mtu asipokukopa yeye angekula wapi hana means nyengine,wakukopwa hawabaguliwi mim mwenyew dem akileta mazoea virngu kwa sana tu ndio tusizoeane...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hao wanaume watakuwa wa dsm.Sio wote baadhi yao haswaa vijana wengi wadangaji hata humu waweza kua wapo..
Hayajanikuta ila yanawakuta watu,vijana wa siku hizo wadananda...chakla wanapenda slopeee...kama zote!!hawataki kubeba zege wanauramba mkanda chini ajira hakuna sawa umesoma ili uelimike au uwe na elimu?
Komaa maisha hayana mteremko kijana usitake kushindana na watoto wa kike na nyie vijana mwadanga siku hizi... wengi wenu!
Siku hizi wana mbinu mpya atajifanya kakuzoe,ukaribu kama wote ushosti ule ule... Atajifanya akukope hapo kwenye kukopa hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mdada usiingie kingii...ukijaa imekula kwakoo!!harudishi na mwingine anahama line kabisaa... Kwani shilling line 500 usajili bure kashakukula elf50 au laki 2 yako anakuhama mazimaa...anaenda kutapeli kungine..
Kuna wanaume wanatamani wangekua kama sisi kina Dada nao wahongwe...!!maana wanaona tunafaidi sana ila sasa hivi hata wadada tunajituma na kujishughulisha....
Nasema sio wote wapo haswaa vijana ndo wana michezo ya ajabu ajabu ya kitapeli ndo maana wadada siku hizi wanawataka wazee maana hawana usumbufu hawana mambo za ajabu ajabu hawezi kudanga!!
Enyi vijana wenzangu lakini wa kiume fanyeni kazi acheni utapeli,acheni kudanga ulipelekwa shule umemaliza iwe graduated au certificate tumia elimu yako vzr acha kuganga njaa kwa kutapeli wengi siku hizi mnawatapeli wanawake Mimi bwana naogopa sana mazoea na vijana na hata nkikuzoea sitaki vurugu za kuniomba pesa au vocha sitakupa hata km nnayo miye mtoto wa kike asili yangu kuhongwaa...mkubali mkatae hata kama ntafanya kazi kama zote... Zenye pesa nyingi lakini raha nipewe sio Mimi nkupe labda nikupe mtaji wa biashara tujenge familia lakini sio utegeshe kende usubiri mwanamke akuletee[emoji57] [emoji57] rudi jandoni tena...!!
Wakaka mtapeli wanaume wenzenu msitutapeli wanawake jamani wenzenu twahangaika mngejua tunavyohaha na mabeseni ya mbogamboga na ubuyu msingethubutu kututapeli!Mimi ukintapeli kama wewe mwanaume utanipa tu hakuna namna!
Mnafanya wanawake waanze kuwaogopa...nasema hivi mtaani wapo na jf wapo pia maana wa mtaani ndo wa humu jf...hata humu wadada kuweni makini kuna watu humu matapeli kama wote...wako innocent lakini ukiingia king inakula kwako!
NB..Samahani kwa ntakaowakwaza mada hayo ni mawazo yangu Mimi hayahusiani na mtu yoyote!![emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hivi mamy nikuulize madem wa bongo hua wanahonga kweli ukiachilia mbali kupigwa virungu?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pesa Ya mwanamke yake, pesa ya mwanaume yetu..!! Ukiona mwanaume au kijana kakopa pesa na harudishi ujue anajilipa kwa hasara aliyo pata. Kama sio kwako basi kwa ndugu yako au mwanamke kama wewee.Sio wote baadhi yao haswaa vijana wengi wadangaji hata humu waweza kua wapo..
Hayajanikuta ila yanawakuta watu,vijana wa siku hizo wadananda...chakla wanapenda slopeee...kama zote!!hawataki kubeba zege wanauramba mkanda chini ajira hakuna sawa umesoma ili uelimike au uwe na elimu?
Komaa maisha hayana mteremko kijana usitake kushindana na watoto wa kike na nyie vijana mwadanga siku hizi... wengi wenu!
Siku hizi wana mbinu mpya atajifanya kakuzoe,ukaribu kama wote ushosti ule ule... Atajifanya akukope hapo kwenye kukopa hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mdada usiingie kingii...ukijaa imekula kwakoo!!harudishi na mwingine anahama line kabisaa... Kwani shilling line 500 usajili bure kashakukula elf50 au laki 2 yako anakuhama mazimaa...anaenda kutapeli kungine..
Kuna wanaume wanatamani wangekua kama sisi kina Dada nao wahongwe...!!maana wanaona tunafaidi sana ila sasa hivi hata wadada tunajituma na kujishughulisha....
Nasema sio wote wapo haswaa vijana ndo wana michezo ya ajabu ajabu ya kitapeli ndo maana wadada siku hizi wanawataka wazee maana hawana usumbufu hawana mambo za ajabu ajabu hawezi kudanga!!
Enyi vijana wenzangu lakini wa kiume fanyeni kazi acheni utapeli,acheni kudanga ulipelekwa shule umemaliza iwe graduated au certificate tumia elimu yako vzr acha kuganga njaa kwa kutapeli wengi siku hizi mnawatapeli wanawake Mimi bwana naogopa sana mazoea na vijana na hata nkikuzoea sitaki vurugu za kuniomba pesa au vocha sitakupa hata km nnayo miye mtoto wa kike asili yangu kuhongwaa...mkubali mkatae hata kama ntafanya kazi kama zote... Zenye pesa nyingi lakini raha nipewe sio Mimi nkupe labda nikupe mtaji wa biashara tujenge familia lakini sio utegeshe kende usubiri mwanamke akuletee[emoji57] [emoji57] rudi jandoni tena...!!
Wakaka mtapeli wanaume wenzenu msitutapeli wanawake jamani wenzenu twahangaika mngejua tunavyohaha na mabeseni ya mbogamboga na ubuyu msingethubutu kututapeli!Mimi ukintapeli kama wewe mwanaume utanipa tu hakuna namna!
Mnafanya wanawake waanze kuwaogopa...nasema hivi mtaani wapo na jf wapo pia maana wa mtaani ndo wa humu jf...hata humu wadada kuweni makini kuna watu humu matapeli kama wote...wako innocent lakini ukiingia king inakula kwako!
NB..Samahani kwa ntakaowakwaza mada hayo ni mawazo yangu Mimi hayahusiani na mtu yoyote!![emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kweli Mkuu tunatupiwa kila majina sababu wamepigwa kiakili.Ujinga wa dada zetu wao kukopa kwetu wanaona kawaida ila sisi tukiwa na shida tukikopa wao wanaita sisi marioo...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] arudishe tuPesa Ya mwanamke yake, pesa ya mwanaume yetu..!! Ukiona mwanaume au kijana kakopa pesa na harudishi ujue anajilipa kwa hasara aliyo pata. Kama sio kwako basi kwa ndugu yako au mwanamke kama wewee.