Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

Hakirudi kitu, na kama alishawahi ipitia papuchi yako ndo sahau kabisa, wanaume wa kizazi hiki wanajua haki zao za msingi sio kama wale wa zamani, wengi wao ni wanaharakati wa haki za wanaume wanapinga uonevu kimya kimya kwa vitendo.![emoji28][emoji28][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109]
 
Hakirudi kitu, na kama alishawahi ipitia papuchi yako ndo sahau kabisa, wanaume wa kizazi hiki wanajua haki zao za msingi sio kama wale wa zamani, wengi wao ni wanaharakati wa haki za wanaume wanapinga uonevu kimya kimya kwa vitendo.![emoji28][emoji28][emoji23]
Huo utapelii!sasa[emoji3][emoji16][emoji16]
 
Yaani hapo kwenye kuhanagaika ndio penyewe...Jamaniii akina Dada tunaamka lukwilii kwenda kupambana na hali zetu tunauza hadi ming'okoo na panya ili tupate rizki...halafu mwanaume unaejiita rijali unapanga kupiga vizinga aseee wanaume dizaini hii mnahitaji rehema mnoo...acheni umarioo fanyeni kazi...utatapeli wangapii??utabadili laini ngapii??utahama location ngapi??mfyuuuu

Siku hizi hakuna rizki kitako,lazima uamke uliache shuka ukapambane,.wanaume wenye tabia hii muache mtakuja pigwa risasi za kichwa kama sio za.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
Daaah hivi sisi waendesha guta tunasoko kweli
 
Yaani hapo kwenye kuhanagaika ndio penyewe...Jamaniii akina Dada tunaamka lukwilii kwenda kupambana na hali zetu tunauza hadi ming'okoo na panya ili tupate rizki...halafu mwanaume unaejiita rijali unapanga kupiga vizinga aseee wanaume dizaini hii mnahitaji rehema mnoo...acheni umarioo fanyeni kazi...utatapeli wangapii??utabadili laini ngapii??utahama location ngapi??mfyuuuu

Siku hizi hakuna rizki kitako,lazima uamke uliache shuka ukapambane,.wanaume wenye tabia hii muache mtakuja pigwa risasi za kichwa kama sio za.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
Angekuwepo humu ningemtagi huu ujumbe ni wake kabisa mfgythtjkhjkihgfyk
 
Huo utapelii!sasa[emoji3][emoji16][emoji16]
Niliwahi kuuliza kama kuna haki za wanawake za wanaume ni zipi? Shule tunaenda sote tena kipaumbele wanapewa wanawake, ajira tunapata wote tena sometym unakuta idara moja mshahara sawa.!
Halafu unakuta bado mtu anajifanya eti anataka pesa apewe yeye tu kisa mwanamke!![emoji53][emoji53]
 
Niliwahi kuuliza kama kuna haki za wanawake za wanaume ni zipi? Shule tunaenda sote tena kipaumbele wanapewa wanawake, ajira tunapata wote tena sometym unakuta idara moja mshahara sawa.!
Halafu unakuta bado mtu anajifanya eti anataka pesa apewe yeye tu kisa mwanamke!![emoji53][emoji53]
Vyote hvyo havibadilishi asili ya mwanadamu kamwee ndo maana mwanaume kuna tabia ukiwa Nazo utaitwa shoga na mwanamke tom boy....so we can't change nature!!wewe utakula kwa jasho miye ntazaa kwa uchungu!!!
 
Back
Top Bottom