mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #21
Wako wengi hawacheat na Mimi ni mojawapo.
Wanaume mabikra wako wengi kuliko wanawake.
Kama ni uongo wa wazi, kwanini Mungu alimchagua mwanaume kuongoza Kanisa na sio mwanamke?
Kwanini alichagua njia ya Yesu kuja kama mwanaume na sio mwanamke?
Mwanamke ni rahisi kushawishiwa ila sio mwanaume. Makanisa ya uongo wanawake wako wengi kuliko mwanaume. Ukiona wanaume ana mchepuko ujue Hana amani na mkewe au alichaguliwa mke wa kumuoa.
Unawajua waturuki lakinMmh labda sio wa TZ ni waturukii hao
Naomba upige na muhuli kabisa kutokana na nyuzi hizi ngumu mnazozitoa apa mimi kuoa itakua changamoto nyingine mpya😆Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Naomba upige na muhuli kabisa kutokana na nyuzi hizi ngumu mnazozitoa apa mimi kuoa itakua changamoto nyingine mpya[emoji38]
Unawajua waturuki lakin
Yan unachoona kwenye movie na tabia zao halis ni vitu viwili tofauti jamaa wanapenda chini mno kuliko kulaSi move zao hata kukiss wanakisiana kwenye paji la usoo
Hivi inaweza kua kwer kale katamaa atakua kamwachia naniAchana na hizo nyuzi mkuu… Kuna watu hapa ni maagent wa satan kazi yao ni kutunga uongo na kuwaamninisha wenzao ili watuone sisi ni waajabu….. Asili ya mwanamke ni ile ile ila tabia ni kila mtu ana yake
Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Umeuliza kitoto sanaNa wanaume wasiosaliti ni wangapii kati ya 10
Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Tunanwnwona mnavyofukuliwa, siyo kuhisi.Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Sababu hujamkuta bikra na hujui wamepita wangapi. Kwani hao wote wabond na mwanamke kiroho, ndio maana hata wazee wa zamani wana msemo wao "hawala hana talaka, ukimtaka unampata".Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Kutojiamini kwa baadhi yetu kunatokana na Ukweli wake zetu wa Ndoa wametucheat! na mrudisha Imani anatakiwa kuwa Mwanamke Mwenyewe ili Mwanaume aridhike kuwa kitendo alichoonyesha Mwanamke cha USALITI hakitarudia, lkn unakuta hawana dalili za kuonyesha kujutia makosa yao!Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Kweli kabisaSijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Na mwanamke asiye na amani akaponee wapi?7 Kati ya 10.
Wanaume asilimia kubwa wakiwa na amani hawawezi msaliti mwanamke anayempenda.
Hata ndani ya Maandiko matakatifu, Mwanaume aliwekwa kuwa kichwa cha ndoa kama Kristo alivyo kichwa cha Kanisa. Kristo hawezi acha Kanisa lake akiwa na amani nayo.
Kazi kwelikweliNa mwanamke asiye na amani akaponee wapi?
Mtazoea tu