Wanaume wa siku hizi hamjiamini

Wanaume wa siku hizi hamjiamini

Kama ni uongo wa wazi, kwanini Mungu alimchagua mwanaume kuongoza Kanisa na sio mwanamke?
Kwanini alichagua njia ya Yesu kuja kama mwanaume na sio mwanamke?

Mwanamke ni rahisi kushawishiwa ila sio mwanaume. Makanisa ya uongo wanawake wako wengi kuliko mwanaume. Ukiona wanaume ana mchepuko ujue Hana amani na mkewe au alichaguliwa mke wa kumuoa.

Nitakujibu baadae hii
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
Naomba upige na muhuli kabisa kutokana na nyuzi hizi ngumu mnazozitoa apa mimi kuoa itakua changamoto nyingine mpya😆
 
Naomba upige na muhuli kabisa kutokana na nyuzi hizi ngumu mnazozitoa apa mimi kuoa itakua changamoto nyingine mpya[emoji38]

Achana na hizo nyuzi mkuu… Kuna watu hapa ni maagent wa satan kazi yao ni kutunga uongo na kuwaamninisha wenzao ili watuone sisi ni waajabu….. Asili ya mwanamke ni ile ile ila tabia ni kila mtu ana yake
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
JamiiForums-57411519.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]

Utuache, nenda kwenye mitandao ya Wazungu, utatuelewaje na wewe una Phantasy zako za kuwa Mama wa Mzungu?
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
Tunanwnwona mnavyofukuliwa, siyo kuhisi.

Na wengine mmekuja humu kuomba ushauri namna ya kuhuisha mapenzi baada waume zenu kugundua mmeliwa kazini, mkachelewa kurejea kwenu.

Manesi mnafake zamu za usiku kazini ili mkalale na michepuko. Tunawaona. Shetani anawaumbua. Mtoto analia usiku, baba na housegirl wanakufuata kazini. Wanajibiwa hayuko zamu leo.

Mnapewa trip ili tu boss apate nafasi ya kukumega. Tunawaona.

Mnapata posho za kazini bila sababu, tunawaona. Mnakuja na mapato makubwa kuliko vyeo vyenu, mnajengewa nyumba kwa siri, mnatushawishi tukapange, kumbe nyumba zenu, tunawaona.

Mnapanda vyeo kazini bila utaratibu, tunawaona.

Kwa ujumla mmeshindikana.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
Sababu hujamkuta bikra na hujui wamepita wangapi. Kwani hao wote wabond na mwanamke kiroho, ndio maana hata wazee wa zamani wana msemo wao "hawala hana talaka, ukimtaka unampata".

Hamna watu wanao ongoza kuvunja ndoa au mahusiano kama ma-ex.
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
Kutojiamini kwa baadhi yetu kunatokana na Ukweli wake zetu wa Ndoa wametucheat! na mrudisha Imani anatakiwa kuwa Mwanamke Mwenyewe ili Mwanaume aridhike kuwa kitendo alichoonyesha Mwanamke cha USALITI hakitarudia, lkn unakuta hawana dalili za kuonyesha kujutia makosa yao!
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
Kweli kabisa
 
7 Kati ya 10.
Wanaume asilimia kubwa wakiwa na amani hawawezi msaliti mwanamke anayempenda.

Hata ndani ya Maandiko matakatifu, Mwanaume aliwekwa kuwa kichwa cha ndoa kama Kristo alivyo kichwa cha Kanisa. Kristo hawezi acha Kanisa lake akiwa na amani nayo.
Na mwanamke asiye na amani akaponee wapi?
Mtazoea tu
 
Back
Top Bottom