Wanaume wa siku hizi hawawezi kuongea

Wanaume wa siku hizi hawawezi kuongea

Siyo kwenye gari tu mazungumzo yote yamekufa siku hizi kutokana na smartphone hata majumbani ni hivyo hivyo kama siyo simu ni tv, mpira na tamhiliya.
 
Zaidi tunakwepa Matumizi yasiyokua ya lazima maana ukifanya mazoea na stories tu gharama za safari zitaongezeka tofauti na ulivyopanga awali so ucjali Dada wengine tunalinda mifuko yetu tu.
Acha ubahiri,hata maji ya mia tano yatakakukosa ili mpige stories mpaka mwisho wa safari
 
Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi

Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games

Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari

Huwa hamtutendei haki kwa kweli

Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu

Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
Tatizo hamchelewi kuanza kuomba hela! Sijui leo siku yangu ya kuzaliwa! Natamani kuku, sina hela ya tax ninakoenda ni mbali hakuna wa kunipokea, n.k. Shida zote za nini? Bora nijikalie kimya!
 
Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi

Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games

Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari

Huwa hamtutendei haki kwa kweli

Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu

Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
Tatizo we sio pisi kali [emoji1787]
 
Unataka msosi wa njiani na hela ya gesti au taxi nikulipie?!

Mimi kama eg tunatoka Dar-Mwanza, nikikaribia misungwi ndo naanza kukuomba namba.
 
Kujichosha tu
Niliwahi safir na mdada from dm to mwanza yule dada ni mwanachuo SAut ila kashamaliza nahis maana ni muda tangu 2015, mi si muongeaji sana kama nitakutan na bubu mwenzangu labda niwe nimeshatia mavituz,kama kawaida kanuni ya kuanza maongezi ni salamu tu nikamsalimia ile morning pre-safari nilimuona huyu bila kumchangamkia tutafika mwanza hatujaongea hata maneno kumi maana muda mwing namuona anachati mara wasap mara sms mara insta ila sikubahatika kumuona akiingia jf nahis alikua mshamba haijui,

nikamchangamkia nikamletea story nying yani story inazaa story mpka tukazoena,nikawa namchomekea maneno nikamuona hana maneno,akawa na usingiz safari imenza kumchosha nikachukua shuka langu la kimasai nikamtandikia corridon ya basi akalala maana alikua anahitaj kujinyoosha

Watu nahis walijua kama tunajuana kumbe no akawa ameachana na simu katia kwenye mkoba tukazidsha story ,nilikua na begi flan portable nimelipakata akalalia pale, niliwaza nimletee pigo za mapenzi zaid nikakumbuka nina wangu nikakausha
 
I prefer staying with my fellow gents, tupige story conscious kuliko kukaa na ke, , my last safari nilikaa na bro mmoja very smart, open-minded, safari ilikuwa nzuri, we shared our world experience,, ilikuwa interesting
 
Toka zamani mpaka leo bado hujazeeka tuu? labda kama unafuatilia wengine na ukitaka kuona hayo unayosema mwambie akupe simu yake!!
 
Wanaume sio kama maembe tuko tofauti, wengne kama mpoki wengne kma mc pilipili, wengne wana heshimu personal space ya mtu hawana maneno mengi.

Most intelligent men huwa hawaongei sana unless apate mtu anae vibe nae interests hapo tutakesha.
 
Hiiii, huu uzi joanah ameuona mana nimekumbuka ile uzi wa kushobokea mtu kwenye gari na issue ya head phone.
 
Back
Top Bottom