Wanaume wa siku hizi hawawezi kuongea

Wanaume wa siku hizi hawawezi kuongea

Hiiii, huu uzi joanah ameuona mana nimekumbuka ile uzi wa kushobokea mtu kwenye gari na issue ya head phone.

Binafsi sipendi kabisa kuanzishiwa stori nikiwa safarini...kama ni swali ambalo kimsingi lazima aniulize ni sawa,sio zile unakaa na mkaka anaanza kuhoji unakoenda unaenda kufanya nini?sidhani kama huwa inahusu

Japo sometimes ukikutana na anayeongea mambo ya msingi huwa inachangamsha safari na kuifanya iwe fupi
 
Mwanachuo mmoja wa ardhi.Alinilalia toka mwanza mpaka moro.Anaongea hanyamazi.Uzungu mwingi.Sikuomba namba.Siku kadhaa mbele naona navutwa shati.Kugeuka yeye.Ikabid tubadilishane namba.

Sizoeleki kirahisi.Ndio nilivyoumbwa
 
Binafsi sipendi kabisa kuanzishiwa stori nikiwa safarini...kama ni swali ambalo kimsingi lazima aniulize ni sawa,sio zile unakaa na mkaka anaanza kuhoji unakoenda unaenda kufanya nini?sidhani kama huwa inahusu

Japo sometimes ukikutana na anayeongea mambo ya msingi huwa inachangamsha safari na kuifanya iwe fupi
Kumbe nishaelewa, hupendi blah blah, bora mtu afunge kimya. Unapenda mtu anaeongea serious matters.
 
Kwanza sina bahat ya kukaa siti moja nawa viumbe safari.

Pil ,siku hiz nimekua m bovu sana safari,nalala sana tofauti na zaman hivyo kama ni stori huwa naanza kuoiga nao baada ya kutoka lunch hotel.Hii ni pind nikipata chance kukaa nao

Mwisho,huwa sipend kujenga mazoea ambayo najua baada ya safr kila mtu atshika 50 zake
 
Aisee mi mwenyew naogopaga hapo tu..
Ukianzisha story tu unakabiziwa majuku apo apo, kila mkisimama kituoni kula atajiweka nyuma nyuma kwenye kulipa ili umlipie,, bora ni mute tu nisave balance angu.
 
Wanaume sio kama maembe tuko tofauti, wengne kama mpoki wengne kma mc pilipili, wengne wana heshimu personal space ya mtu hawana maneno mengi.

Most intelligent men huwa hawaongei sana unless apate mtu anae vibe nae interests hapo tutakesha.
Fact
 
Kujuana na mtu mpka iweje kwan au mpka umpelkee barua ya maombi ya urafiki?,ukishasalimiana na mtu ndo mshajuana kwa kanuni zetu wanadamu, au uanataka mpka umvue nguo ndo umjue, we juana nae kibinadamu piga nae story za kawaida atajua mwenyewe kama ye ni wazir,polisi,jambazi ,maana ukijua ivo kabla unaweza usizoeane na mtu hat kidogo,
Wazungu wao awa salimiani
 
Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi

Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games

Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari

Huwa hamtutendei haki kwa kweli

Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu

Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
Wiki moja iliyopita nilisafiri safari ya masaa kumi na mbili. Nilibahatika kukaa na dada mmoja mrembo hivi na bahati nzuri nadhani ile nimeingia tu alinielewa sana akaanza kujiulizisha maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Kilichonikwaza ni vitu vitatu. Mosi - alijitambulisha kwao tanga, pili alivaa wigi flani hivi la marangi rangi nikajua huyu ni wale wanaojisell probably, tatu kavaa hijabu flan jeusi. Nilijikuta tu nakuwa kimya mwanzo mswisho isipokuwa kujibu maswali ya papo kwa papo.
 
Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi

Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games

Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari

Huwa hamtutendei haki kwa kweli

Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu

Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
pole sana.. endelea kusafiri utakutana nami hutojuta...
 
🙂 Ukiona mwanaume kakaa na mwanamke seat za karibu alafu anamkaushia huyo mwanamke kwenye safari ndefu, ujue huyo mwanaume anakitambaa cha kufutia jasho na kikaratasi cha ticket yake tu mfukoni...


Cc: mahondaw

ejoooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi sipendi kabisa kuanzishiwa stori nikiwa safarini...kama ni swali ambalo kimsingi lazima aniulize ni sawa,sio zile unakaa na mkaka anaanza kuhoji unakoenda unaenda kufanya nini?sidhani kama huwa inahusu

Japo sometimes ukikutana na anayeongea mambo ya msingi huwa inachangamsha safari na kuifanya iwe fupi

Nakumbuka nlikuwa nasafiri na basi kwenda mikoani, konda akanipangia seat moja na mdada, nlimkuta mdada wa watu yuko pale kwenye seat ya pembeni yangu, nlimsalimia mdada, na mdada alionesha kunichangamkia, nliongea nae vitu vichache kuhusu basi jinsi lilivyo, hata sekunde 34 hazikufika, mm nikamwomba konda anihamishe siti, nkahamia siti ingine..bora nikae na mwanaume mwenzangu, tupige story weeee hadi safari iishe, mm naona kukaa na mdada usiemjua kwenye safari ni michosho...

Kusingekuwa na option ya seat ingine, yule dada ningemnunia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari joanah cutelove
 
Nakumbuka nlikuwa nasafiri na basi kwenda mikoani, konda akanipangia seat moja na mdada, nlimkuta mdada wa watu yuko pale kwenye seat ya pembeni yangu, nlimsalimia mdada, na mdada alionesha kunichangamkia, nliongea nae vitu vichache kuhusu basi jinsi lilivyo, hata sekunde 34 hazikufika, mm nikamwomba konda anihamishe siti, nkahamia siti ingine..bora nikae na mwanaume mwenzangu, tupige story weeee hadi safari iishe, mm naona kukaa na mdada usiemjua kwenye safari ni michosho...

Kusingekuwa na option ya seat ingine, yule dada ningemnunia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari joanah cutelove
Acha roho mbaya
 
Nakumbuka nlikuwa nasafiri na basi kwenda mikoani, konda akanipangia seat moja na mdada, nlimkuta mdada wa watu yuko pale kwenye seat ya pembeni yangu, nlimsalimia mdada, na mdada alionesha kunichangamkia, nliongea nae vitu vichache kuhusu basi jinsi lilivyo, hata sekunde 34 hazikufika, mm nikamwomba konda anihamishe siti, nkahamia siti ingine..bora nikae na mwanaume mwenzangu, tupige story weeee hadi safari iishe, mm naona kukaa na mdada usiemjua kwenye safari ni michosho...

Kusingekuwa na option ya seat ingine, yule dada ningemnunia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari joanah cutelove


Honestly,heri nikae seat moja na mkaka asee!
Kukaa na mwanamke mwenzangu seat moja??hell no!
 
Honestly,heri nikae seat moja na mkaka asee!
Kukaa na mwanamke mwenzangu seat moja??hell no!

Hahahaaa unataka kukaa na mkaka kwenye basi, ili akutongozee halafu ukajimwambafy kwa rafiki zako wa kike kuwa ww ni mzuri na unapendwa...hahaaahaa joanah
 
Hahahaaa unataka kukaa na mkaka kwenye basi, ili akutongozee halafu ukajimwambafy kwa rafiki zako wa kike kuwa ww ni mzuri na unapendwa...hahaaahaa joanah

Wala hiyo sio sababu,ni vile tu kukaa jinsia moja hainogi kwa kweli 😂
 
Zamani nilikuwa na mtindo wa kupiga story lakini siku hizi staki kabisa kuzoeana sana na mtu kwenye basi.
 
Back
Top Bottom