Hiiii, huu uzi joanah ameuona mana nimekumbuka ile uzi wa kushobokea mtu kwenye gari na issue ya head phone.
Kumbe nishaelewa, hupendi blah blah, bora mtu afunge kimya. Unapenda mtu anaeongea serious matters.Binafsi sipendi kabisa kuanzishiwa stori nikiwa safarini...kama ni swali ambalo kimsingi lazima aniulize ni sawa,sio zile unakaa na mkaka anaanza kuhoji unakoenda unaenda kufanya nini?sidhani kama huwa inahusu
Japo sometimes ukikutana na anayeongea mambo ya msingi huwa inachangamsha safari na kuifanya iwe fupi
Kumbe nishaelewa, hupendi blah blah, bora mtu afunge kimya. Unapenda mtu anaeongea serious matters.
Sawa, ila kiukweli hata mimi huwa sipendi mtu anihoji kuhusu mambo yangu, yani ataniboa chap, ila pia sipendi mtu anayeniletea story za kuzungumzia watu.Hata ikiwa blah blah zisiingie ndani sana kunihusu
7800 mkuundo ulikuwa umetoka kupewa buku 8700 dar na @magalah Jr nn..
Ukianzisha story tu unakabiziwa majuku apo apo, kila mkisimama kituoni kula atajiweka nyuma nyuma kwenye kulipa ili umlipie,, bora ni mute tu nisave balance angu.
FactWanaume sio kama maembe tuko tofauti, wengne kama mpoki wengne kma mc pilipili, wengne wana heshimu personal space ya mtu hawana maneno mengi.
Most intelligent men huwa hawaongei sana unless apate mtu anae vibe nae interests hapo tutakesha.
Wazungu wao awa salimianiKujuana na mtu mpka iweje kwan au mpka umpelkee barua ya maombi ya urafiki?,ukishasalimiana na mtu ndo mshajuana kwa kanuni zetu wanadamu, au uanataka mpka umvue nguo ndo umjue, we juana nae kibinadamu piga nae story za kawaida atajua mwenyewe kama ye ni wazir,polisi,jambazi ,maana ukijua ivo kabla unaweza usizoeane na mtu hat kidogo,
Wiki moja iliyopita nilisafiri safari ya masaa kumi na mbili. Nilibahatika kukaa na dada mmoja mrembo hivi na bahati nzuri nadhani ile nimeingia tu alinielewa sana akaanza kujiulizisha maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Kilichonikwaza ni vitu vitatu. Mosi - alijitambulisha kwao tanga, pili alivaa wigi flani hivi la marangi rangi nikajua huyu ni wale wanaojisell probably, tatu kavaa hijabu flan jeusi. Nilijikuta tu nakuwa kimya mwanzo mswisho isipokuwa kujibu maswali ya papo kwa papo.Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi
Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games
Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari
Huwa hamtutendei haki kwa kweli
Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu
Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
pole sana.. endelea kusafiri utakutana nami hutojuta...Nilikuwa nasikia zamani wakati ndo tunakua,tunanukia umri wa kuanza kumjua mwanaume,wasichana wanatusimulia wanavyokuwa wanasafiri kwenye mabasi wanakaa sit moja na wakaka wanapiga stori za hapa na pale hadi mwisho wa safari,muda mwingine safari inaishia na matumaini mapya ya mahusiano,yaani unaingia nyumbani unafarijika na zile stories za mkaka yule na cha ajabu ndo mara ya kwanza kukutana ndani ya hilo basi
Siku hizi unaingia ndani ya basi, unabahatika unakaa na mkaka sit moja,safari inaanza,kituo cha kwanza,hamna kitu,cha pili,hamna kitu,cha tatu unajifanya kumuulizia sehemu fulani basi linafikapo SAA ngapi,anajibu tu bado SAA moja
Halafu anarudisha earphone masikioni,anacheza games
Mnakuwa mabubu mpaka mwisho wa safari
Huwa hamtutendei haki kwa kweli
Mkiwa kwenye usafiri hasa mrefu msijifanye bize sana,huwa tunapenda tupige story mbili tatu
Ubize wetu kwenye mabasi huwa ni kupretend tu ,anza mazungumzo uone kama hutajibiwa
Binafsi sipendi kabisa kuanzishiwa stori nikiwa safarini...kama ni swali ambalo kimsingi lazima aniulize ni sawa,sio zile unakaa na mkaka anaanza kuhoji unakoenda unaenda kufanya nini?sidhani kama huwa inahusu
Japo sometimes ukikutana na anayeongea mambo ya msingi huwa inachangamsha safari na kuifanya iwe fupi
Acha roho mbayaNakumbuka nlikuwa nasafiri na basi kwenda mikoani, konda akanipangia seat moja na mdada, nlimkuta mdada wa watu yuko pale kwenye seat ya pembeni yangu, nlimsalimia mdada, na mdada alionesha kunichangamkia, nliongea nae vitu vichache kuhusu basi jinsi lilivyo, hata sekunde 34 hazikufika, mm nikamwomba konda anihamishe siti, nkahamia siti ingine..bora nikae na mwanaume mwenzangu, tupige story weeee hadi safari iishe, mm naona kukaa na mdada usiemjua kwenye safari ni michosho...
Kusingekuwa na option ya seat ingine, yule dada ningemnunia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari joanah cutelove
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Sasa kama umevaa wigi nani akuongeleshe wakati naenda kwa nyapu yangu OG ya kiburushi tabora imefuga nywele mpaka mkiani
Nakumbuka nlikuwa nasafiri na basi kwenda mikoani, konda akanipangia seat moja na mdada, nlimkuta mdada wa watu yuko pale kwenye seat ya pembeni yangu, nlimsalimia mdada, na mdada alionesha kunichangamkia, nliongea nae vitu vichache kuhusu basi jinsi lilivyo, hata sekunde 34 hazikufika, mm nikamwomba konda anihamishe siti, nkahamia siti ingine..bora nikae na mwanaume mwenzangu, tupige story weeee hadi safari iishe, mm naona kukaa na mdada usiemjua kwenye safari ni michosho...
Kusingekuwa na option ya seat ingine, yule dada ningemnunia kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari joanah cutelove
Honestly,heri nikae seat moja na mkaka asee!
Kukaa na mwanamke mwenzangu seat moja??hell no!