Wanaume wa siku hizi ni vitukoo

Wanaume wa siku hizi ni vitukoo

wee utakuwa msomii sanaa ama unafikiriaga sana kabla ya kutenda, = you are a big problem
 
Msimuhukumu mwanaume kwa kutoku performance vizuri Mara ya kwanza, ya pili na ya tatu.
Mpe muda Kisha utoe conclusion.
Sio mechi moja ndio useme moja kwa moja hajui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ndugu tafuta tibaa

Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
 
Pole ndugu tafuta tibaa

Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Kumbe mkuu una uzoefu hadi kuvuka mipaka ya inchi,,
Hongera mkuu kwa shughuli yako
 
Pole ndugu tafuta tibaa

Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Asante kwa pole yako, ila mwenzako sipo huko ni ushauri tu.
Lakini jua tatizo ni wewe sio mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole ndugu tafuta tibaa

Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Wwe kweli umesha Kubuhuu,kumbe umesha maliza hadi Wapopoo!? Kweli wwe noma lazima utakua Baharia wa Kike!!
 
Hahahahahha nacheka lakini naogopa,
Wanaume wa siku hizi ni majanga mashoga zangu unakuta kamwanaume kanajishaua kana jijitutumia kuja kukutongoza cha ajabu unakuta PESA HAKANA ukisema uvumilie hilo pia unakuta MAPENZI YA DHATI HAKANA ukisema potelea mbali wacha nizuge nacho unakuta NGUVU ZA KIUME HAKANA woiiiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngachokaaa
Kwa hiyo unashauri nini Shangazi ?
 
Back
Top Bottom