Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ndugu tafuta tibaaMsimuhukumu mwanaume kwa kutoku performance vizuri Mara ya kwanza, ya pili na ya tatu.
Mpe muda Kisha utoe conclusion.
Sio mechi moja ndio useme moja kwa moja hajui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mkuu una uzoefu hadi kuvuka mipaka ya inchi,,Pole ndugu tafuta tibaa
Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Asante kwa pole yako, ila mwenzako sipo huko ni ushauri tu.Pole ndugu tafuta tibaa
Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Natabir huu uzi utachangiwa na ke wengi zaid ya me,tupumzishen jmn khaaaaaqaUngesubiri hata Giza liingie ndio uachie hili Bomu😂😂😂😂😂😂.
Ona sasa wanavyopiga mayowe.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kama ulivyomsikia mtoa mada vigezo unavyo au [emoji16][emoji16][emoji16]Rafiki unanitesa na hiyo chura
Huna wazazi? Kama kwenu ni maskini, ina mana hiyo tabia ya kudanga umerithi kwa nani?Pesa hunipi hata kunyundua huwezi pumbavuuu
Wwe kweli umesha Kubuhuu,kumbe umesha maliza hadi Wapopoo!? Kweli wwe noma lazima utakua Baharia wa Kike!!Pole ndugu tafuta tibaa
Wanaume wenzenu kutoka Nigeria huko ghana hata wakisikia harufu tu ya marashi ya kike tayari wanakua active poleni sana tafuteni tibaa bila kusahau pesaa
Hahahha.duh...jibu balaa hili..akirud nitagUmejileta mwenyewe unataka nichangie nini?
Achana na mleta mada ana sonona inamsumbua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kama ulivyomsikia mtoa mada vigezo unavyo au [emoji16][emoji16][emoji16]
Ofcoz kwa panya ni changamoto ilaaa shimo la panya kwa sungura ni Katundu...Nikiwa mkubwa sitaki hayo mashimo ya panya!
Hahah nimeipenda hii 😂😂😂 bei gani mangi?
HahahaNikiwa mkubwa sitaki hayo mashimo ya panya!
Kwa hiyo unashauri nini Shangazi ?Hahahahahha nacheka lakini naogopa,
Wanaume wa siku hizi ni majanga mashoga zangu unakuta kamwanaume kanajishaua kana jijitutumia kuja kukutongoza cha ajabu unakuta PESA HAKANA ukisema uvumilie hilo pia unakuta MAPENZI YA DHATI HAKANA ukisema potelea mbali wacha nizuge nacho unakuta NGUVU ZA KIUME HAKANA woiiiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngachokaaa