Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
2,886
Reaction score
9,088
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Tofauti na zamani.angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo.upo dar unaelezea hisia zako Kwa Binti yupo iringa au hata marekani.lakini zamani unamface mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana Tena.
Ishukuruni technology.
Acha uongo, zamani walikuwa wanawatumia wazee ila sisi tunamface kabisa
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Tofauti na zamani.angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo.upo dar unaelezea hisia zako Kwa Binti yupo iringa au hata marekani.lakini zamani unamface mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana Tena.
Ishukuruni technology.
Sio wote mdogo wangu Miss Champagne
 
Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
 
Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga
Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kua nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii

Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara
Labda unazungumzia wa hapo mtaani kwenu. Ila generation yangu ilishavurugwa, haina uoga na mbususu kabisa
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Tofauti na zamani.angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo.upo dar unaelezea hisia zako Kwa Binti yupo iringa au hata marekani.lakini zamani unamface mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana Tena.
Ishukuruni technology.
Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
 
Back
Top Bottom