Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Tofauti na zamani.angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo.upo dar unaelezea hisia zako Kwa Binti yupo iringa au hata marekani.lakini zamani unamface mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana Tena.
Ishukuruni technology.
Sema kuna mwanaume unamtaka hafu unahisi kama anashindwa kufunguka…..
Nadhan hizo labda si shida zake inawezekana ye anakuchukulia we n dada ake!
Binafsi kama kiongozi wa wanaume hamna mwanaume muoga wa kutongoza wala kuongea!! Wanaume ni wajasiri kuliko kiumbe chochote kilichowai kuishi duniani
 
Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga
Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kua nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii

Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara
Ndio hivo

Na wanaogopa hasa kukataliwa.
Tena wengine hata Kwa njia ya Whatsapp tu hata sms hawana ujasiri
 
Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
Wengi macho makavu sababu hakuna kipya ambacho hawakijui. Wameshapigwa chuma kadhaa hapo anakua na macho makavu kuona kama saizi ulonayo sio kama walizonazo akina john, juma, joseph alizopita nazo..!
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Uko poa! Nimeku pm fungua PM hiyo! Uone ujasiri wa watu.
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Siku hizi hatutongozi unajivutia tu maisha yanasonga
 
Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sema ulichoniitia!!??!!
Unanipotezea mda wangu



Ukikutana na hivi unanyweaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.

Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.

Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.

Ishukuruni technology.
Wewe wasema
 
Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom