Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kumbe ni Abi, nishamjuaHuyu ni dada yetu muache mkuu😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni Abi, nishamjuaHuyu ni dada yetu muache mkuu😂😂
Tayari nishamjuaNisiwe mbea namwita ajiseme mwenyewe😂
Miss Champagne
Yaan ujiongezee tuu, muhamishe matatizo yenu Kwa vijana.Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga
Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kua nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara
Kumbe na wewe ni walewaleYaan ujiongezee tuu, muhamishe matatizo yenu Kwa vijana.
Mwendo wakuviziana tuu paka kieleweke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Siyo waoga mrembo, muda ndiyo mchache afu mambo mengi..Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Umri wangu ukusaidie Nini wewe..Umri wako plz, ili tuweze kujua kama kweli una uzoefu wa generations zote. Za zamani na sasa.
Sema kuna mwanaume unamtaka hafu unahisi kama anashindwa kufunguka…..Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao
Tofauti na zamani.angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo.upo dar unaelezea hisia zako Kwa Binti yupo iringa au hata marekani.lakini zamani unamface mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana Tena.
Ishukuruni technology.
Hayo ya zamani live live ndo ilikua true love..Vipaumbele vimebadirika,vijana wa Sasa Hawa chase girls seriously kihivyo,macho kwenye Pesa..mullah,doe, shillings..
Ndio hivoNi kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga
Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kua nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara
We unao kakangu[emoji4]Sio wote mdogo wangu Miss Champagne
Wengi macho makavu sababu hakuna kipya ambacho hawakijui. Wameshapigwa chuma kadhaa hapo anakua na macho makavu kuona kama saizi ulonayo sio kama walizonazo akina john, juma, joseph alizopita nazo..!Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
Uko poa! Nimeku pm fungua PM hiyo! Uone ujasiri wa watu.Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Siku hizi hatutongozi unajivutia tu maisha yanasongaNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hata na hivyo kutongoza si mchezo hasa ukute mwanamke macho makavu!enzi zile wanawake walikua na aibu hakuangalii anajikunjakunja,mara kung'ata kucha,kuchuma majani na kuvunja vijiti na kumpa mwanaume ujasiri wa kutema madini tofaut na hawa kizaz juaji mixer K~VANT
Dadako kipenzi[emoji4][emoji4]Ni nani huyu? Nisije zama pm kumbe tayari nipo nae kwenye mahusiano [emoji28]
Wewe wasemaNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaeleza hisia zako baada ya masaa machache,mtu anakuwa anadaiwa kodi,kioo cha simu kimevunjika anataka simu mpya,Anaumwa,anasikia njaa,viatu vyake vimeharibika, kila siku hana bundle.Hapo bado hajakuambia pesha zake za vikoba na mchezo ambao ana majina matatu, ndio maana sometimes tunakulaga buyu ili kuepusha stress husizo plan.
Kwani zamani hakukua na Long distance relationships??watu wameandikianq barua mwaka mzima,Kila siku..Hayo ya zamani live live ndo ilikua true love..
Now mnapatana tu WhatsApp