Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Dah!!!!
Humu kuna watu wanachuki na Diva nini????
Humu kuna watu wanachuki na Diva nini????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malaya fulani hivi
huko facebook ni MAJANGA...watu wamemnyea kinoma...laiti na huku kungekua hakuna jela,ningefanya kitu....
Unamuita malaya alishakupa bila kumuomba?
wakaka wamekuja juu,kwa maneno na kashfa tele kwa dada wa watu....kafueni boxer....................hehehhhehe embu nicheke mie....
Kunyea sijui na kumjojolea hakusaidii! Nakuhakikishia humu jf wakiulizwa wababa, wakaka na wavulana wasiorudia boxer/vyupi ni wangapi wakiwa na lie detector utashangaa! Naogopa kukuuliza kama maishani mwako hujawahi kurudia boxer ama kyupio bila kufua. Naomba usijibu BAGAH
Unamuita malaya alishakupa bila kumuomba?
katam balaa mi nimeshakaonja
kama ana-date na visharobaro....vitaacha kunuka.....afate wanaume wenye staha zao aone.....
anamwongelea kibonde na wanaume wa redio clouds kina ruge...aje huku aone kama atabanduka..kajitongozesha kwa mabossi maskini wee matokeo yake ndio haya