Wanaume wa Tanzania na romance



...halafu si ajabu ndoa yenyewe ina miaka 3 tu na ni ile tuliyoichangia mamilioni kuisherehesha! :mmph:
 
Matatizo ya kuoa/kuolewa kwa kufuata mkumbo, matokeo yake mnachokana baada ya mwezi mmoja!
 
Wengine tukifanya hivyo tunaishia kuambiwa, "Wale nao wanajidai sana kuonyesha mapenzi yao hadharani." You can't win when it comes to love. Damned if you do it, damned if you don't :blah:
 

kama hay yafanyika kwenye ndoa za "vijana" basi pole zao.

ila kama umeyaona kwa wale watu wa "longi" basi wasamehe tu, kwani wengi wao ni mapokeo.
enzi hizo mambo ya kushikana mikono au/na kubusiana panapo kadamnasi yalikuwa yanaonekana kwenye
sinema, hivyo wengi wa wazee wenzagu wakachukulia kwamba kufanya hivyo ni usanii (acting) tu na wala sio
masuala ya ukweli. kilichofuata wife au husband akitaka kushikana mikono anaonekana anataka kufanya usanii.
hata watazamaji walikuwa wakisema "hawa nao! jaani wanafanya usanii hadharini" fyuuuu (msonyo)
 

Big up! Your stuff makes sense. Sasa sijui wanataka uwe busy na nani?Ndio maana watu wengi wanatabia ya ku-cheat kwa sababu wanashindwa kupalilia mapenzi katika ndoa zao na kuishia kushikwa masikio na nyumba ndogo´huko hawafurukuti, watafanya yote ambayo kwa mke wake anaona aibu kuyafanya. Jamani, mapenzi kwa sehemu kubwa yanajengwa na ya vitu vidogo vidogo yakiwemo hayo ya kushikana, kukaa pamoja mbele ya watu n.k
 
ukumbuke manjonjo ya kusikana mikono,kisses na mau mkioana..uwe romantic kwa kifupi kwa huyo bibie:A S wink:

Loh laaziz ulipotelea wapi siku mbili hizi?Safari hii nimekuwekea na Avatar kabisa unione nilivyo.Naomba usiogope wala kukemea katika jina la Yesu
 

unafiki unatuponza tunatakiwa tubadilike, lakini nyumba ndogo zinzshikwa hadi kiuno bila kuona aibu yoyote ile
 
Kwamimi nisiye kwenye ndoa najaribu kuangalia hapa nitachangia vipi? any way siyo lazima nichangie:A S 13:

kaini ezan mbona hututendei haki watu wengine bana!sasa hiyo Avatar yako si ni makusudi kabisa hayo unatutendea watoto wa wenzio!kwanini utuweke majaribuni bana?????
 

mengine hayaombeki kwa wake zetu mkuu!sasa kama una kiu na kisamvu cha kopo utafanyaje???lazima ukaitafute ugenini
 

Wee nyamayao unaonekana hujatulia kabisaaaaa!!!!, utaacha kufanya. Kwa taarifa yako tu mambo ya kuonyeshana hufanywa faraghani na sio hadharani
 
 
Loh laaziz ulipotelea wapi siku mbili hizi?Safari hii nimekuwekea na Avatar kabisa unione nilivyo.Naomba usiogope wala kukemea katika jina la Yesu

Jamani hebu shindwa kwa jina la Yesu!..huyo paka na hiyo mimacho leo hata sitoki ndani usiku huu nisije nikakutana nae bure!!..kwanini umejiita Paka?
Mie nipo ,mikiki ya maisha ndo napambana na JF nikiwa free ndo naingia..thanx d🙂))
 
Jamani hebu shindwa kwa jina la Yesu!..huyo paka na hiyo mimacho leo hata sitoki ndani usiku huu nisije nikakutana nae bure!!..kwanini umejiita Paka?
Mie nipo ,mikiki ya maisha ndo napambana na JF nikiwa free ndo naingia..thanx d🙂))

Shabash! kama maneno matamu basi nimesikia leo,nitalala usingizi mnono kweli,haya bana siku nyingine ukiwa free njoo PM basi tucheze baikoko.
 
Shabash! kama maneno matamu basi nimesikia leo,nitalala usingizi mnono kweli,haya bana siku nyingine ukiwa free njoo PM basi tucheze baikoko.

Kweli wewe Paka mana uko tofauti, usiku watu wanalala wewe ndo uko matembezini!..hizo PM mie situmii kwa sababu maalum,zaidi ya majukwaa ya JF ni hapahapa kwa keyboard!!Njozi njema paka blaki
 
Kweli wewe Paka mana uko tofauti, usiku watu wanalala wewe ndo uko matembezini!..hizo PM mie situmii kwa sababu maalum,zaidi ya majukwaa ya JF ni hapahapa kwa keyboard!!Njozi njema paka blaki



Lah kaaaaz kwelikweli ,sasa hapahapa baikoko tutachezaje na watu kibao wanatutizama.Anyway nashukuru kwa kunitakia njozi njema lakini mie ndio kumekucha sasa.
 
mengine hayaombeki kwa wake zetu mkuu!sasa kama una kiu na kisamvu cha kopo utafanyaje???lazima ukaitafute ugenini

Mkuu Bacha,furaha na manjonjo ya ndoa hayaji automatically bali hutengenezwa!Kwani huko ugenini yamewezekana vipi na kwa mamsapu yasiwezekane?Watu wengi katika ndoa (ndivyo ninavyo amini) huwa hawazungumzii suala la mapenzi (how to make love in an enjoyable way) wanaishia kula aina moja ya chakula kila siku, mwishowe chakula kinakinai na kuanza kutafuta nje. We hujiulizi nini kinachowafanya watu watoke nje ya ndoa zao?Na hata akitoka na huyu leo, kesho anataka kutoka na mwingine. Sababu kubwa ni vionjo(test) kila wakati anataka kuonja akiamini chakula hiki ni kitamu zaidi kuliko kile wakati ukweli ni kwamba chakula ni kile kile ila viungo na utayarishwaji ndio unatofautiana. Mfundishe mwenzako kupika mapishi mbalimbali, kila siku chakula kitanoga wala hutataka kula kwa jirani.Halafu kwa jirani hakuna uhakika unaweza ukala SUMU bure ambayo haina antidot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…