Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
sipati picha kilichofata baada ya hapo na hivi mens hawapendi kudhalilishwa mbele za watu!
Nahisi ni kichapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sipati picha kilichofata baada ya hapo na hivi mens hawapendi kudhalilishwa mbele za watu!
sema baadhi...wengine tukijickia/ hamu ya kufanya hiki au kile, tunafanya!
Kwamimi nisiye kwenye ndoa najaribu kuangalia hapa nitachangia vipi? any way siyo lazima nichangie:A S 13:
Utakuta ndoa ni ya mtu wa karibu na mnatakiwa wote muwepo. Nyumba hizi zinaficha mengi sana kuna jamaa niliwahi kuwaona wametoana out wenyewe pale Girrafe Hotel sijui walikuja kusuluisha ugomvi basi walikaa pale hawakuongea mwanzo mwisho na baada ya m/mke kumaliza chakula akamwambia jamaa maliza haraka tuondoke jamaa akamwambia usini-force kula haraka kilichofuata yule dada akabeba funguo za gari akanyanyuka akamwambia utanikuta kwenye gari. Yule m/ume alikasirika halafu watu kibao waliona ile movie ilivyoenda baadae akaagiza mzinga wa konyagi kubwa akaunywa kama juice ulivyoisha akatoka kumfuata mwenza wake kwenye gari
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania.
Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu???
Kumshika mke wako mkono mbele ya watu hata kama watoto wapo ni kinyume cha maadili yetu??? au ni kuwafundisha watoto wawapende na kuwathamini wenzi wao pindi wa kiwa wakubwa???
Kumuweka mke wako mbele kuliko marafiki na ndugu mfano: Rafiki anakuambia muende somewhere kuhave fun ukimwambia uko busy na wife ni kinyume na maadili?? kuna jambo lingine linanishangaza saaaaana, siku ya harusi tunashikana mikono kanisani, tunakula keki moja tena twalishana na mdomo, tunadance ziro distance mbele ya umati lakini baada ya hapo yote yanakuwa KINYUME NA MAADILI, hapo kanisani kila mtu anakaa upande wake, kushikana mikono kushney,kwenye sherehe kama hamjuani no kudence no romance, no what, naombeni wanaume hapa jamvini mniambie why this is happening.... Je mnajua howmuch your wives wanapenda romance??? I can assure you women love romance more than anything else, we love displaying affection kwenye public japo kwa mipaka. Plz wanaume naombeni views zenu on this.
tatizo wanaume wa kitanzania eti ukiwa bize na wife washkaji wanakwambia mwanamke anakuendesha,anyway mi kama nataka unibebe unikumbatie unikiss anywhere u must do,thats the meaning of love,love has no limitation ch muhimu ni kuangalia tu mpo katika situation gani
Loh bahati gani hii?Na mimi siko kwenye ndoa ni PM basi tuongee.
ukumbuke manjonjo ya kusikana mikono,kisses na mau mkioana..uwe romantic kwa kifupi kwa huyo bibie:A S wink:
hivi vitu ni tamaduni tu unajua tofauti yetu na wazungu ni kwamba wazungu wanaonyesha mapenzi kwa vitendo kabisa kama mtu kafurahi anaonyesha kwa vitendo ila sisi waafrika tuko tofauti kutokana na tamaduni zetu utakuta mtu anampenda sana mwenzi wake lakini kuonyesha wazi anaogopa kutokana na tamaduni zetu hata kwenye harusi utakuta MC ndio anawaongoza au padre na sheikh kuwa unaweza kufunua shela na kumbusu au mchum mchum mwaaa baada ya hapo inachobaki ni wivu tu na kuulizana mbona umechelewa ulipitia wapi au mbona nimekutumia msg hujajibu yaani mapenzi yetu yanaonekana kwa wivu wivu tu na si kwa vitendo
na siku ukijifanya kubusu busu kwenye sherehe za kikazi au harusi (zakualikwa) mkitoka hapo kama sio gazeti la udaku kuwatoa front page basi ujue ndio itakuwa discussion kwa waalikwa wote
mapenzi ya kiafrika na kibongo yana miundo mbinu yake tofauti na sinema na movie za Marichuy, tunayaweza wenyewe
Kwamimi nisiye kwenye ndoa najaribu kuangalia hapa nitachangia vipi? any way siyo lazima nichangie:A S 13:
Big up! Your stuff makes sense. Sasa sijui wanataka uwe busy na nani?Ndio maana watu wengi wanatabia ya ku-cheat kwa sababu wanashindwa kupalilia mapenzi katika ndoa zao na kuishia kushikwa masikio na nyumba ndogo´huko hawafurukuti, watafanya yote ambayo kwa mke wake anaona aibu kuyafanya. Jamani, mapenzi kwa sehemu kubwa yanajengwa na ya vitu vidogo vidogo yakiwemo hayo ya kushikana, kukaa pamoja mbele ya watu n.k
mie sisubirigi afanye, nikijickia kufanya nafanya vyovyote vile ninavyojickia bila kuvunja sheria, c wangu bwana bac nipo nae free na anatakiwa nae ajibu mapigo kama hataki kec....na kweli kwenye wedding mabusu kibao ngoja leo mpo kwenye cjui party ya ofc, yupo busy na colleagues, hapo hapo na mie ndio nabana.
mengine hayaombeki kwa wake zetu mkuu!sasa kama una kiu na kisamvu cha kopo utafanyaje???lazima ukaitafute ugenini[/QUOTE
:tonguez: duh haya mmambo matamu hayapatikani ndani na visusio usisahau mzee maana ukijaribu tu na vikao vya ukoo vitaitwa wakati ye anatoa hukooooooooooooo
Loh laaziz ulipotelea wapi siku mbili hizi?Safari hii nimekuwekea na Avatar kabisa unione nilivyo.Naomba usiogope wala kukemea katika jina la Yesu
Jamani hebu shindwa kwa jina la Yesu!..huyo paka na hiyo mimacho leo hata sitoki ndani usiku huu nisije nikakutana nae bure!!..kwanini umejiita Paka?
Mie nipo ,mikiki ya maisha ndo napambana na JF nikiwa free ndo naingia..thanx d🙂))
Shabash! kama maneno matamu basi nimesikia leo,nitalala usingizi mnono kweli,haya bana siku nyingine ukiwa free njoo PM basi tucheze baikoko.
Kweli wewe Paka mana uko tofauti, usiku watu wanalala wewe ndo uko matembezini!..hizo PM mie situmii kwa sababu maalum,zaidi ya majukwaa ya JF ni hapahapa kwa keyboard!!Njozi njema paka blaki
mengine hayaombeki kwa wake zetu mkuu!sasa kama una kiu na kisamvu cha kopo utafanyaje???lazima ukaitafute ugenini