yaani mwanaume as head of the family ajue direction zote za familia kwa siku yeye na mkewe leo lunc tunakula vipi na watoto ni vp sio kisa nina kazi ndo nitajijuUshauri wako ni nini hapo?sijakuelewa.
<br />somehow"
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
yaani mwanaume as head of the family ajue direction zote za familia kwa siku yeye na mkewe leo lunc tunakula vipi na watoto ni vp sio kisa nina kazi ndo nitajiju
Ni njaa tu za ajabu!!
Kama wewe mwenyewe unafanya kazi unakosaje pesa ya lunch mpaka uombe ombe?!Au ndo yale we unaweza kuafford chapati na soda ila unachotamani na kutaka kula ni chips kuku au burger?!
Alafu na mwanaume akikupa wewe pesa ya lunch kula siku na yeye anapewa na nani?!Kama huwezi kuafford kununua lunch beba kiporo nenda nacho kazini.Hamna haja ya kutamani vitu usivyo na uwezo navyo mpaka kuishia kuomba omba.Maana siku utakayoambiwa ulipe madeni ya watu ndo utakoma!![/QUOTE]
Ni njaa tu za ajabu!! ----- Hii si njaa bana tuite ULAFI
Maana siku utakayoambiwa ulipe madeni ya watu ndo utakoma!! -- KURA URIWE lol
so mtu mnaagana asubui hata hajui status yako ni fair kweli?
nani unampelekea akasome?Okeeeeeeeeeee nitampelekea asome halafu nitakuletea majibu.
hata mimi nitamake sure yuko fresh issue sio lazima anipe hela yake ile tu kujua mama yuko shwariso kujuliwa status yako ni mpk aseme mamaa ebu chukua pesa i ya mchana?
soma fresh apo juu km mnapanga wote uwez kuwa na mawazo ya kiparasite ..ushavaa wala uondoki chumbani kumbe unasubiri uambiwe chukua i dear....
mkipanga pamoja unajua kabsa jamaa hana ela pesa ..mshazipangilia pesa zenu ...sasa cha kuanza kuchungulia mfuko wa mwenzio yahuu?
kwanini wewe usimpe bas?kwan yey hana matumizi?au kwa vile mwanaume so akienda mgahawa basi anapewa lunch bureeeee?
wak up gal...achana na izo parasite kind of care
so kujuliwa status yako ni mpk aseme mamaa ebu chukua pesa i ya mchana?
soma fresh apo juu km mnapanga wote uwez kuwa na mawazo ya kiparasite ..ushavaa wala uondoki chumbani kumbe unasubiri uambiwe chukua i dear....
mkipanga pamoja unajua kabsa jamaa hana ela pesa ..mshazipangilia pesa zenu ...sasa cha kuanza kuchungulia mfuko wa mwenzio yahuu?
kwanini wewe usimpe bas?kwan yey hana matumizi?au kwa vile mwanaume so akienda mgahawa basi anapewa lunch bureeeee?
wak up gal...achana na izo parasite kind of care
siku nyingine ukiamka vizuri, bila kula yale maviporo yako......
unakuwaga na busara zaidi...........hongera!!!!!!!
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
<br />ehhh makubwa aya so km baba wa family basi ata ped akununulie?ata km unamshahara wako?<br />
<br />
KES YA KUFULIA INAJULIKANJA NA WALA AITOKEI DAILY...BT WEWE unamaanisha unamtaka yule mwanaume wa daily asubui...bibieee ehhn chukua ela apo juu ....ukichek kitwenty ivi...na kesho pia akupe,...<br />
<br />
badala ya kuwaza kitoto like kupenda upewe tu /utumbue tu pesa za mmeo kwa jina la CARE..ni vyema mkakaaa chini mkapanga woote pesa zenu/zake mzifanyie nini..<br />
<br />
like...ths month kwa chakula apa home tutumie sh 8<br />
usafiri sh 5 <br />
<br />
benk tupeleke sha 5<br />
izi sh 3 tukawanunulie sukari wazaz...<br />
<br />
ukfanya ivo utajua kwamba ela inamatumizi na si ya kutoa/ku show off ata km akuna ulazima wa kufanya ivo<br />
<br />
NOTE;WAWEZA PEWA PESA NYINGIIII LAKIN UKAWA AUPENDWI....NA PESA SI ISHARA KUJALIWA/SI ISHARA YA CARE<br />
<br />
<br />
mf....wewe unaumwa unampigia simu mmeo ehh bwana mi nipo hoi naumwa nimerudi home...yeye anajibu ahh ok ebu chukua laki 5 apo juu ya kabat nenda hospital bas mi nipo bar kidogo nakula bata na washikaji ela km aitoshi unambie basi ntakuche badaye km vip....<br />
<br />
<br />
apo utanambiaje/jamaa kakucare?<br />
shda ako asi pesa umepewa lakin je umeridhika?<br />
<br />
PESA SI ISHARA YA CARE MAMA...thk fresh
Jamani kuna kitu kinanishangaza utakuta mwanamke ameolewa na mume wake anao uwezo kawaida ila saa ya lunch anaomba omba vioffer ivi wanaume mnashindwa kuwapa wake zenu ela ya lunch?
Mi na wish nipate mwanaume atakaenicare kwa vitu kama ivo jamani anipe nauli na hela ya lunch ata kama ninayo.i will be broud of him.so wanaume kuweni na moyo wa kuwajali wake zenu
Ni njaa tu za ajabu!!
Kama wewe mwenyewe unafanya kazi unakosaje pesa ya lunch mpaka uombe ombe?!Au ndo yale we unaweza kuafford chapati na soda ila unachotamani na kutaka kula ni chips kuku au burger?!
Alafu na mwanaume akikupa wewe pesa ya lunch kula siku na yeye anapewa na nani?!Kama huwezi kuafford kununua lunch beba kiporo nenda nacho kazini.Hamna haja ya kutamani vitu usivyo na uwezo navyo mpaka kuishia kuomba omba.Maana siku utakayoambiwa ulipe madeni ya watu ndo utakoma!!
<br />Ni njaa tu za ajabu!!<br />
<br />
Kama wewe mwenyewe unafanya kazi unakosaje pesa ya lunch mpaka uombe ombe?!Au ndo yale we unaweza kuafford chapati na soda ila unachotamani na kutaka kula ni chips kuku au burger?!<br />
<br />
Alafu na mwanaume akikupa wewe pesa ya lunch kula siku na yeye anapewa na nani?!Kama huwezi kuafford kununua lunch beba kiporo nenda nacho kazini.Hamna haja ya kutamani vitu usivyo na uwezo navyo mpaka kuishia kuomba omba.Maana siku utakayoambiwa ulipe madeni ya watu ndo utakoma!!