Wanaume wa wanawake wafanyakazi

Ushauri wako ni nini hapo?sijakuelewa.
yaani mwanaume as head of the family ajue direction zote za familia kwa siku yeye na mkewe leo lunc tunakula vipi na watoto ni vp sio kisa nina kazi ndo nitajiju
 

Kweli wanaume mna kazi..duh! Hainingii akilini kabisa mtu anafanya kazi aache kununua lunch, kisa hajapewa hela ya lunch na mumewe......?!* KWELIIII? Hata kama baba ndo kichwa cha familia na ana jukumu la kuitunza familia yake. Hii ni kujidhalilisha. Nafikiri huyo bibie anae omba omba ni hulka yake tu... kwa hiyo hata akipewa ataishia kwenye VIWALO na Carolight. Ma jery na weye unatafuta m.ume atakaeweza kukupatia hivi.. sali sana mami.. Life ya sasa ni kusaidiana usisubiri kupewa kila kitu...
 
Okeeeeeeeeeee nitampelekea asome halafu nitakuletea majibu.

yaani mwanaume as head of the family ajue direction zote za familia kwa siku yeye na mkewe leo lunc tunakula vipi na watoto ni vp sio kisa nina kazi ndo nitajiju
 
 
so mtu mnaagana asubui hata hajui status yako ni fair kweli?

so kujuliwa status yako ni mpk aseme mamaa ebu chukua pesa i ya mchana?

soma fresh apo juu km mnapanga wote uwez kuwa na mawazo ya kiparasite ..ushavaa wala uondoki chumbani kumbe unasubiri uambiwe chukua i dear....

mkipanga pamoja unajua kabsa jamaa hana ela pesa ..mshazipangilia pesa zenu ...sasa cha kuanza kuchungulia mfuko wa mwenzio yahuu?
kwanini wewe usimpe bas?kwan yey hana matumizi?au kwa vile mwanaume so akienda mgahawa basi anapewa lunch bureeeee?

wak up gal...achana na izo parasite kind of care
 
hata mimi nitamake sure yuko fresh issue sio lazima anipe hela yake ile tu kujua mama yuko shwari
 



siku nyingine ukiamka vizuri, bila kula yale maviporo yako......
unakuwaga na busara zaidi...........hongera!!!!!!!
 
siku nyingine ukiamka vizuri, bila kula yale maviporo yako......
unakuwaga na busara zaidi...........hongera!!!!!!!

we mwanaume unadondoka lin?
ushafanya buking?
lodge ztajaa..fanya uwai....mijitu ming sana pande i
 
jamani lile bango liko wapi? "HUSBAND IS NOT ATM"
 
Kama hata lunch huwezi kujinunulia kazini unaenda kufanya nini?? Kunyosha miguu? Si ukae nyumbani tu ulee watoto kupunguza gharama za familia?
 
ma jery hebu msome rose1980
acha kuwa tegemeze......unapokuwa na kazi unatakiwa kutekeleza mambo mengine sio kumtegemea mume.......kama hayo ya lunch n.k ....mwanamke unanga'ng'ania asubuhi upewe hela ya lunch........ kuna mambo muhimu ya kufanya unawezakuta ndio mnajenga gharama zote anafanya mumeo nawe bado unasubiri kuingia kwenye payroll asubuhi na mapema
 
ma jery, kuomba omba ni tabia ya mtu na ni kujizoesha. siku hizi kuna wanaume ombaomba pia. wote tu wananichefua! kama huna hela ya lunch, unayo ya saluni na kununua lipstick? tabia MBAYA,MBAYA,MBAYA! kama huna hela ya lunch pika mihogo asubuhi weka kwa container dumbukiza pochini! ukifika mchana kula na chai! umaskini wa kifikra unaanzia huku,nadhani ndo attitude ya viongozi wetu hii! hata mumeo usimuombe ombe, atakuona wa ajabu. kama yeye hajui majukumu yake msaidie, struggle uongeze kipato! maofisini kuna ombaomba smart,midada inaomba hadi hela ya vocha! mppphhhwwweee!

 
<br />
<br />
dada rose we ndo umemaliza kabisa unafaa kua mfundaji umempa mwenzako darasa la kutosha inafaa akuchek ata na credit kadhaa kama sio asante ya mdomo, yani mi mpaka namuonea wivu mumeo unaonekana kua na upeo tofaut na madem wengi wa leo utakuta mnafanya kaz sehemu moja mshahara mmoja lkn atataka umlipie nauli, umpe msos, na wekend umtoe out zake kibindoni na hapo ujamuoa we unafikiri kuna nini apo kama sio kumchungulia na kumkimbia coz now days ndo style ya madem wengi yuko radhi ata awe na mabwana wengi ka anajiuza ila kutumia pesa zake kwa basic needs ni dhambi ye zake ni kupiga pamba tu na ndo maana tunawapiga vibuti kila siku mwisho wa siku wanatuona tuna matatizo kumbe wao ndo chanzo ila hawajajua tu, bg up 2 u kwa darasa zuri na hii ni kwa mabiishost wote wenye matabia ka hizi bana au sio.
 

Wanawake wenye tabia hizi mara nyingi walikuwa watu wa 'chipsi mayai' tu umegonga wakati wako shule/chuo!
 

ur ryt 100%
 
Hamna mwanaume mjinga kiasi hicho anaekupa hela daily na wewe una salary every month,utaishia kumegwa na kuachwa na mafataki kila siku!
 
<br />


haaah haaah haaah Lizzy ndo mana me nakupenda dear yani hapa umemaliza kila kitu, ndo hawa wanaotaka wanaleta kigezo cha financial stability ya mume, ona sasa wanataka kupewa lunch wakati wanapiga kaz na kupokea mshahara, ujinga huu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…